Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Tunaufahamu vizuri ubora wa kiungo fundi mwenye Jezi yake pendwa Bara na Visiwani tangu akiwa mitaa ya Jangwani na hata ndani ya Timu ya Taifa.
SWALI: Ni je, huyu wa Azam FC atakuwa bora zaidi ya yule wa Yanga?
SWALI: Ni je, huyu wa Azam FC atakuwa bora zaidi ya yule wa Yanga?