Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wapi kumeansikwa TFF wameona Feisal hana helaNna uhakika Feisal anakwenda kuipata hiyo hela, na kama atafanikiwa kwenda CAS kulalamika na akashinda rufaa yake, am sure watanzania wanakwenda kupoteza imani na chombo hicho cha soka.
Karia amefanya makubwa TFF lkn wajumbe wamemwangusha, hoja yao ilikuwa Feisal hana hela ya kwenda CAS na hakuna wa kumsaidia, sasa Feisal kaanzisha michango ili akadai haki yake, kila la heri kijana, mm naahidi kuchangia pia
Wewe na huyo Fei wako, wote ni hamnazo.Nna uhakika Feisal anakwenda kuipata hiyo hela, na kama atafanikiwa kwenda CAS kulalamika na akashinda rufaa yake, am sure watanzania wanakwenda kupoteza imani na chombo hicho cha soka.
Karia amefanya makubwa TFF lkn wajumbe wamemwangusha, hoja yao ilikuwa Feisal hana hela ya kwenda CAS na hakuna wa kumsaidia, sasa Feisal kaanzisha michango ili akadai haki yake, kila la heri kijana, mm naahidi kuchangia pia
Mpira wa miguu una njia zake za kuamua mambo yake, Na hizo njia ndio zinaufanya mchezo huu kujitofautisha na Michezo mingine.. Walichoamua TFF ndicho wataamua CAF na ndicho wataamua FIFA. CAS wanapitia tu kilichoamuliwa na izo taasisi nilizozitaja kuona kama sheria zilifuatwa au hazikufuatwaNna uhakika Feisal anakwenda kuipata hiyo hela, na kama atafanikiwa kwenda CAS kulalamika na akashinda rufaa yake, am sure watanzania wanakwenda kupoteza imani na chombo hicho cha soka.
Karia amefanya makubwa TFF lkn wajumbe wamemwangusha, hoja yao ilikuwa Feisal hana hela ya kwenda CAS na hakuna wa kumsaidia, sasa Feisal kaanzisha michango ili akadai haki yake, kila la heri kijana, mm naahidi kuchangia pia
Statement ya kichawi kabisa hii.Feisali hana uwezo wowote wa kuishi nda yanga ....
Kiufupi fei kayakanyaga ,atajuta maisha yake yote ....
Na Hao wanaompa kichwa wote watamkimbia ,....
Mwisho wa siku ataishia kula sembe ..
Hii dunia Haina huruma ,fei ni swala la muda tu ,atalia na kusaga meno ...
Angekuwa mtu wa bara sawa lakini mpemba...hawa watu wanaushirikiano..hiyo hela ya CAS mpaka diaspora wapemba uingereza wanachangaFeisali hana uwezo wowote wa kuishi nda yanga ....
Kiufupi fei kayakanyaga ,atajuta maisha yake yote ....
Na Hao wanaompa kichwa wote watamkimbia ,....
Mwisho wa siku ataishia kula sembe ..
Hii dunia Haina huruma ,fei ni swala la muda tu ,atalia na kusaga meno ...
Kwahiyo maamuzi ya kumlazimisha mcheza kuchezea timu asiyoihitaji yako sawa?? Je fifa inasemaje kuhusu mkataba??mkataba wa mpira wowote ule haumfungi mchezaji kuvunja japo kutakuwa na consequence...kwani msuva kesi yake ilikuwaje na mbona alitoboaNdugu usichokijua CAS wanaenda fanya reviews za maamuzi ya mashauri walizotoa TFF na ukumu zitarudi vile vile bila kubadilika jiandaeni Tena kumchangia pesa za faini ya gharama za kuendesha kesi kwa kushindwa kesi muda utaongea comment yangu tunza
hivi kwenye hiyo kesi fei anashindaje?Nna uhakika Feisal anakwenda kuipata hiyo hela, na kama atafanikiwa kwenda CAS kulalamika na akashinda rufaa yake, am sure watanzania wanakwenda kupoteza imani na chombo hicho cha soka.
Karia amefanya makubwa TFF lkn wajumbe wamemwangusha, hoja yao ilikuwa Feisal hana hela ya kwenda CAS na hakuna wa kumsaidia, sasa Feisal kaanzisha michango ili akadai haki yake, kila la heri kijana, mm naahidi kuchangia pia
akishindwa kesi atatakiwa kuilipa fidia yanga na sio kulazimishwa kurudi yanga.hivi kwenye hiyo kesi fei anashindaje?
Hata msuva walimletea uhuni alienda CAS na alitoboaHii kesi sasa ni Feisal vs TFF, Shirikisho la wahuni linaloongoza mpira wetu.
Msuva kesi yake nyeupe ajatimiziwa matakwa ya mkataba wake fei je ajatimiziwa Nini kwenye mkataba wake? .sina aja ya kukujibu masuala ya fifa uko mbali sanaKwahiyo maamuzi ya kumlazimisha mcheza kuchezea timu asiyoihitaji yako sawa?? Je fifa inasemaje kuhusu mkataba??mkataba wa mpira wowote ule haumfungi mchezaji kuvunja japo kutakuwa na consequence...kwani msuva kesi yake ilikuwaje na mbona alitoboa
Sawa lakini sio kulazimisha kurudi yanga anachopaswa ni kulipa fidiaMsuva kesi yake nyeupe ajatimiziwa matakwa ya mkataba wake fei je ajatimiziwa Nini kwenye mkataba wake? .sina aja ya kukujibu masuala ya fifa uko mbali sana
ongelea na upande wa pili, akishindwa je?Nna uhakika Feisal anakwenda kuipata hiyo hela, na kama atafanikiwa kwenda CAS kulalamika na akashinda rufaa yake, am sure watanzania wanakwenda kupoteza imani na chombo hicho cha soka.
Karia amefanya makubwa TFF lkn wajumbe wamemwangusha, hoja yao ilikuwa Feisal hana hela ya kwenda CAS na hakuna wa kumsaidia, sasa Feisal kaanzisha michango ili akadai haki yake, kila la heri kijana, mm naahidi kuchangia pia
Akishindwa atailipa fidia yanga lkn sio kulazimishwa kuitumikiaongelea na upande wa pili, akishindwa je?
Hilo Sasa anapaswa kuandika barua kwa mwajiri wake aombe kuvunja mkataba watampa utaratibu. Hila aache kuleta vigezo visivyoonekana visivyo na ushaidi analalama anateswa, anakula ugali sukali, ushaidi uko wapi sidhani kama akiombwa kuthibitisha kama ataweza kwa kigezo hiko ndio mana Kila shauri lonaposikilozwa anashindwaSawa lakini sio kulazimisha kurudi yanga anachopaswa ni kulipa fidia