mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Fahari wawili hawakai zizi moja, kipindi Feisal yuko Yanga kuna watu walimuona Aziz ki ni wa kawaida sana, ila kiukweli Feisal alikuwa akipambana mno, waliishia kutupiana majeen tu, Feisal akaona akimbie kuepusha shari,
Sasa Aziz ki anaogopa kufunikwa na kivuli cha Chama, asije tena kuonekana wa kawaida ameamua kukimbia
Pia soma:Viongozi wa Yanga mwacheni Azizi Ki aende tu
Sasa Aziz ki anaogopa kufunikwa na kivuli cha Chama, asije tena kuonekana wa kawaida ameamua kukimbia