bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Ndio moyo wa mtu kichaka umeficha mengi sana mabaya na mazuri,meupe na meusi, damu na maji...nk
Hakika msemo huu pasipo na shaka Feisal ametuonyesha maana yake, nani aliamini Feisal yule aliyekua anashangilia kwa kuibusu nembo ya Yanga pamoja na kwenda kwenye Camera na Kuisema I LOVE YANGA.
Pamoja na yote hayo hutoamini leo Feisal anasumbuana na Yanga Pale Tff huku akiwa amejaza mawakili karibia watatu kweli maisha haya yanabadilika binafsi nakiri bado sijaona mengi kwenye hii dunia Ndio RAFIKI YAKO ANAWEZA KUWA ADUI YAKO AND VICE VERSA IS TRUE.
Feisal aliyepita kwenye Nyakati ngumu na Yanga anzia kipindi kile cha bakuli yanga ikipitisha, akitumiwa na Zahera kama namba 6 na kucheza rafu nyingi na kula kadi za njano nyingi tu leo yupo pale Tff akizozana na Yanga.
Nani alitegemea kijana wa Byuti Byuti angeleta Mikwara wakati Yanga ikijiandaa na gemu ngumu na Azam kama ni mawazo ya kijana hakika kijana ana misimamo ila kama kuna watu nyuma yake wana lengo katili sana na timu ya Yanga.
Wapo wanaoamini Yanga imeundwa kupitia Feisal hii nchi kuna mengi kuna wivu, husda, tamaa mbaya, uchawi...nk hapo unaweza kukuta ni kakikundi cha watu wenye pesa zao wameungana kwa lengo la kuikomoa Yanga na kuirudisha nyuma bila kuwaza either wanamwaribia dogo au wanamsadia.
Kiuhalisia Yanga ni Taasisi Kubwa, Yanga ni Serikali kwanini Yanga ni serikali kuna watu wapo tiyari kufa kwa ajili ya Yanga tena mkulima tu wa huko sitimbi ndani ndani,Yanga anamiliki wananchi wake walio tiyari kwa lolote lile ni ngumu Feisal kushindana na Yanga yeye kama yeye labda kama atakua kwenye upande wa haki tu kwa njia haramu labda hao wanaomtumia wana mpunga au Tff waamue kupindisha Sheria.
Yes hatukatai Feisal alikua mchezaji muhimu Yanga lakini jiulize tangu ameondoka Yanga imepoteza michezo mingapi ? Feisal kapandisha kiwango miaka hii miwili ya Nabi baada ya kumtoa namba 6 na kumsogeza mbele na pamoja na kuzungukwa na wachezaji wazuri sisemi vibaya ila bado alikua na mengi ya kujifunza.
Bado hajawahi mchezaji wa kutegemewa ndio maana hata kwenye timu ya Taifa bado hana namba ya kudumu na hata akicheza hamalizi dakika 90 ndio narudia bado alikua na mengi ya kujifunza.
Na huu ndio ulikua wakati sahihi wa kudai DAU KUBWA KWA NJIA STAHIKI NA SIO ALIZOTUMIA YEYE WENYE LUGHA YAO WANASEMA JANJAJANJA MJINI, bado alikua na uwezo wa kukaa na timu ya Yanga na kuzungumza.
All in all yote heri kama kijana anaona njia aliyotumia ni sahihi its ok ila ni vema angeondoka na baraka za wazee nakumbuka kisa cha Maicon wa Brazil huyu jamaa alitakiwa kusajiliwa na timu moja ya italia kutoka timu ya Ufaransa Barcelona wakahijack ndege iliyombeba na kumshusha pale Nou camp kwa kifupi maisha ya jamaa Barca yalikua magumu sana.
Kijiji kisicho na wazee usiishi.
Hakika msemo huu pasipo na shaka Feisal ametuonyesha maana yake, nani aliamini Feisal yule aliyekua anashangilia kwa kuibusu nembo ya Yanga pamoja na kwenda kwenye Camera na Kuisema I LOVE YANGA.
Pamoja na yote hayo hutoamini leo Feisal anasumbuana na Yanga Pale Tff huku akiwa amejaza mawakili karibia watatu kweli maisha haya yanabadilika binafsi nakiri bado sijaona mengi kwenye hii dunia Ndio RAFIKI YAKO ANAWEZA KUWA ADUI YAKO AND VICE VERSA IS TRUE.
Feisal aliyepita kwenye Nyakati ngumu na Yanga anzia kipindi kile cha bakuli yanga ikipitisha, akitumiwa na Zahera kama namba 6 na kucheza rafu nyingi na kula kadi za njano nyingi tu leo yupo pale Tff akizozana na Yanga.
Nani alitegemea kijana wa Byuti Byuti angeleta Mikwara wakati Yanga ikijiandaa na gemu ngumu na Azam kama ni mawazo ya kijana hakika kijana ana misimamo ila kama kuna watu nyuma yake wana lengo katili sana na timu ya Yanga.
Wapo wanaoamini Yanga imeundwa kupitia Feisal hii nchi kuna mengi kuna wivu, husda, tamaa mbaya, uchawi...nk hapo unaweza kukuta ni kakikundi cha watu wenye pesa zao wameungana kwa lengo la kuikomoa Yanga na kuirudisha nyuma bila kuwaza either wanamwaribia dogo au wanamsadia.
Kiuhalisia Yanga ni Taasisi Kubwa, Yanga ni Serikali kwanini Yanga ni serikali kuna watu wapo tiyari kufa kwa ajili ya Yanga tena mkulima tu wa huko sitimbi ndani ndani,Yanga anamiliki wananchi wake walio tiyari kwa lolote lile ni ngumu Feisal kushindana na Yanga yeye kama yeye labda kama atakua kwenye upande wa haki tu kwa njia haramu labda hao wanaomtumia wana mpunga au Tff waamue kupindisha Sheria.
Yes hatukatai Feisal alikua mchezaji muhimu Yanga lakini jiulize tangu ameondoka Yanga imepoteza michezo mingapi ? Feisal kapandisha kiwango miaka hii miwili ya Nabi baada ya kumtoa namba 6 na kumsogeza mbele na pamoja na kuzungukwa na wachezaji wazuri sisemi vibaya ila bado alikua na mengi ya kujifunza.
Bado hajawahi mchezaji wa kutegemewa ndio maana hata kwenye timu ya Taifa bado hana namba ya kudumu na hata akicheza hamalizi dakika 90 ndio narudia bado alikua na mengi ya kujifunza.
Na huu ndio ulikua wakati sahihi wa kudai DAU KUBWA KWA NJIA STAHIKI NA SIO ALIZOTUMIA YEYE WENYE LUGHA YAO WANASEMA JANJAJANJA MJINI, bado alikua na uwezo wa kukaa na timu ya Yanga na kuzungumza.
All in all yote heri kama kijana anaona njia aliyotumia ni sahihi its ok ila ni vema angeondoka na baraka za wazee nakumbuka kisa cha Maicon wa Brazil huyu jamaa alitakiwa kusajiliwa na timu moja ya italia kutoka timu ya Ufaransa Barcelona wakahijack ndege iliyombeba na kumshusha pale Nou camp kwa kifupi maisha ya jamaa Barca yalikua magumu sana.
Kijiji kisicho na wazee usiishi.