kj75
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 539
- 637
Nimejaribu kuvaa viatu vya Feisal kwamba ningekuwa ndo Mimi yeye ningeitisha press conference nikaonba msamaha nikarudi yanga Ila Sasa ambacho ningewafanyia wangeniruhusu niondoke bure wao wenyewe.
Kwanza ningejitungua bao moja matata dhidi ya golikipa wangu then hyo mechi ingekuwa ya robo final Azam federation. Nikaja mechi ya ligi kuu halaf nalud shirikisho Africa najitungua Tena dakika za mwisho halafu baada ya hapo wakishindwa kunipanga ndo mwanzo wa kuvunja mkataba
Kwanza ningejitungua bao moja matata dhidi ya golikipa wangu then hyo mechi ingekuwa ya robo final Azam federation. Nikaja mechi ya ligi kuu halaf nalud shirikisho Africa najitungua Tena dakika za mwisho halafu baada ya hapo wakishindwa kunipanga ndo mwanzo wa kuvunja mkataba