Feisal Salum ajaweka post ya mchango kaweka tangazo la biashara

Feisal Salum ajaweka post ya mchango kaweka tangazo la biashara

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Naona watu mapovu yanawatoka kuhusu post ya Feisal ila kama unauelewa game vizuri utagundua Feisal anataka mambo mawili.

1. Ameweka tangazo la biashara la kampuni ya simu. Kafanikiwa.
2. Kuendelea kupata sympathy ili apate justification kwenye muendelezo wa kesi yake.

Msipanic sana wana Yanga wenzangu hii ni game ya akili.

Na pia sioni sababu ya Yanga kumumkomalia dogo ni ushamba tu wa Kiswahili unasumbua viongozi mwisho wa siku tunaweza tusipate chochote hela na huduma yake.
 
Kama Leo Feisali anaweza kuamua tu kuvunja mkataba akalipa na akasepa, Kwanini na siku Moja Mfano Clotus Chama au Manula tena labda Karibu na mechi muhimu, wasiamue nao kulipa pesa na kuvunja mkataba wakaondoka?

Wanachosimamia Yanga sio Suala la utanzania au uzanzibari wa Feisali, Bali upuuzi wa Feisali utaharibu Michezo, ukikubalika (na haukubaliki) utaweka precedence mbaya sana huko mbeleni. Aache uhuni.
 
Kama Leo Feisali anaweza kuamua tu kuvunja mkataba akalipa na akasepa, Kwanini na siku Moja Mfano Clotus Chama au Manula tena labda Karibu na mechi muhimu, wasiamue nao kulipa pesa na kuvunja mkataba wakaondoka?

Wanachosimamia Yanga sio Suala la utanzania au uzanzibari wa Feisali, Bali upuuzi wa Feisali utaharibu Michezo, ukikubalika (na haukubaliki) utaweka precedence mbaya sana huko mbeleni. Aache uhuni.
Soka letu kivyetuvyetu. Tukiamua kufata kila kitu kinyooke next week baada ya final one Yanga ilitakiwa iingie uwanjani ipige mechi ya ligi.
 
Hivi zile milion 160 sijui alizowapa Yanga kuvunja mkataba nao wakamrudishia zilienda wapi? Si atukie hizo hizo tena zinazidi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naona watu mapovu yanawatoka kuhusu post ya Feisal ila kama unauelewa game vizuri utagundua Feisal anataka mambo mawili.

1. Ameweka tangazo la biashara la kampuni ya simu. Kafanikiwa.
2. Kuendelea kupata sympathy ili apate justification kwenye muendelezo wa kesi yake.

Msipanic sana wana Yanga wenzangu hii ni game ya akili.

Na pia sioni sababu ya Yanga kumumkomalia dogo ni ushamba tu wa Kiswahili unasumbua viongozi mwisho wa siku tunaweza tusipate chochote hela na huduma yake.
Unajua maana ya mkataba?
 
Naona watu mapovu yanawatoka kuhusu post ya Feisal ila kama unauelewa game vizuri utagundua Feisal anataka mambo mawili.

1. Ameweka tangazo la biashara la kampuni ya simu. Kafanikiwa.
2. Kuendelea kupata sympathy ili apate justification kwenye muendelezo wa kesi yake.

Msipanic sana wana Yanga wenzangu hii ni game ya akili.

Na pia sioni sababu ya Yanga kumumkomalia dogo ni ushamba tu wa Kiswahili unasumbua viongozi mwisho wa siku tunaweza tusipate chochote hela na huduma yake.
Na hatuitaki huduma yake. No yeye no problem.
Hata pesa hatuitaki. Ahame bure tu akwende zake paramagambakabudduuuukoreapakistani sana huyu
 
Back
Top Bottom