Feisal Salum (Feitoto) alikua na hoja

Feisal Salum (Feitoto) alikua na hoja

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
1,198
Reaction score
2,562
kama tuliambiwa Nabi atakuepo mpaka 2024 lakini Leo hiii NABI na uongozo wa Yanga unathibitisha mkataba ulikua mwaka 1.

Napata ukakasi ishu ya FEITOTO ALIKUA na Hoja, Kuna kitu hakikua Sawa ndo mana dogo akaamua kukiamsha.

Kuondoka Kwa wachezaji (Sina uhakika) na bench la ufundi kuna kitu kuhusu Fei kitakuja kuwekwa wazi. Na kitaivuruga Yanga zaidi
 
kama tuliambiwa NABI atakuepo mpka 2024 lakini Leo hiii NABI na uongozo wa Yanga unathibitisha mkataba ulikua mwaka 1.... Napata ukakasi ishu ya FEITOTO ALIKUA na Hoja, Kuna kitu hakikua Sawa ndo mana dogo akaamua kukiamsha.

Kuondoka Kwa wachezaji (Sina uhakika) na bench la ufundi kuna kitu kuhusu Fei kitakuja kuwekwa wazi. Na kitaivuruga Yanga zaidi
Mtu ni mdogo kuliko club. Waende tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hatari tupuuu.
 
Pambania timu yako Kolo angalau upate kombe hata moja.
Mwaka wa pili huna kitu.
Unachokiweza kukifanyia parade Bunju to Kariakoo ni Kiatu cha mchongo cha Saidoo na umbea tu. Jitu zima limekaa linabwekabweka Feitoto, Feitoto, Feitoto, Feitoto anakulisha?
Kenge wewe!
 
Pambania timu yako Kolo angalau upate kombe hata moja.
Mwaka wa pili huna kitu.
Unachokiweza kukifanyia parade Bunju to Kariakoo ni Kiatu cha mchongo cha Saidoo na umbea tu. Jitu zima limekaa linabwekabweka Feitoto, Feitoto, Feitoto, Feitoto anakulisha?
Kenge wewe!
Qwi qwi qwi qwi ona huyu utopolo
 
kama tuliambiwa Nabi atakuepo mpaka 2024 lakini Leo hiii NABI na uongozo wa Yanga unathibitisha mkataba ulikua mwaka 1.

Napata ukakasi ishu ya FEITOTO ALIKUA na Hoja, Kuna kitu hakikua Sawa ndo mana dogo akaamua kukiamsha.

Kuondoka Kwa wachezaji (Sina uhakika) na bench la ufundi kuna kitu kuhusu Fei kitakuja kuwekwa wazi. Na kitaivuruga Yanga zaidi
Wewe jamaa kama umefikisha miaka 25 niite mbwa Niko pale[emoji117]
 
Mikia buana,mnamatatizo chungu nzima kwenu ila kutwa kuhangaika na Yanga tu, mbona husemi ya Vunja Bei? Picha itakusaidia sana kuwa unatafakari kwanza
IMG-20230616-WA0029.jpg
 
Back
Top Bottom