Feisal Salum tamaa Yamponza, Azam yamkataa kwenye kesi yake

Feisal Salum tamaa Yamponza, Azam yamkataa kwenye kesi yake

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
images (3).jpeg

Hii imekaaje karibu ili upate habari kwa kina kuhusu kinda huyu tokea visiwa vya Unguja na Pemba (Zanzibar) motto aliyekuzwa na urojo pamoja na vibagia. Kwasasa yupo kikaangoni akizungushwa huku na kule kupata suluhu ya mkataba wake na timu ya wananchi (Yanga Sc).

Baada ya kulazimisha kuvunja mkataba na kutaka kutimukia azam (moja ya timu tajiri nchini Tanzania)
Iliyomuahidi mchezaji huyo nyota kupewa mshahara zaidi ya million 90 kila mwezi ambavyo kwenye timu yake ya awali (Yanga) alikuwa akilipwa million 5 kila mwezi. Kwa uwezo wa feisal salum Feitoto hii hela ni ndogo ambayo alikuwa akilipwa na timu yake ya Yanga.(Dar Young African).

Kwakuwa alifanya maamuzi mwenyew uenda kiwango chake kika kushuka maana bado muafaka haujapatikana kwenda Azam au kurudi Yanga.

Hili ndo soka LETU

#sokaLetu host Kimodomsafi
 
Feisal ungelijua ungekuwa simba ungeshaenda mbali maana simba inajua kuuza wachezaji kama wewe muulize samata.
Yanga ndio utafia hapo hapo .waulize waliochezea yanga wanajuta
 
Feisal ungelijua ungekuwa simba ungeshaenda mbali maana simba inajua kuuza wachezaji kama wewe muulize samata.
Yanga ndio utafia hapo hapo .waulize waliochezea yanga wanajuta
Raja casablanca hao nyuma yako kimbia.....
 

Hii imekaaje karibu ili upate habari kwa kina kuhusu kinda huyu tokea visiwa vya Unguja na Pemba (Zanzibar) motto aliyekuzwa na urojo pamoja na vibagia. Kwasasa yupo kikaangoni akizungushwa huku na kule kupata suluhu ya mkataba wake na timu ya wananchi (Yanga Sc).

Baada ya kulazimisha kuvunja mkataba na kutaka kutimukia azam (moja ya timu tajiri nchini Tanzania)
Iliyomuahidi mchezaji huyo nyota kupewa mshahara zaidi ya million 90 kila mwezi ambavyo kwenye timu yake ya awali (Yanga) alikuwa akilipwa million 5 kila mwezi. Kwa uwezo wa feisal salum Feitoto hii hela ni ndogo ambayo alikuwa akilipwa na timu yake ya Yanga.(Dar Young African).

Kwakuwa alifanya maamuzi mwenyew uenda kiwango chake kika kushuka maana bado muafaka haujapatikana kwenda Azam au kurudi Yanga.

Hili ndo soka LETU

#sokaLetu host Kimodomsafi
Acha ubabaishaji, mchezaji gani Tanzania alipewa mshahara wa 90 milioni? Nashangaa hata mnaochapisha upuuzi kama huu
 
Feisal ungelijua ungekuwa simba ungeshaenda mbali maana simba inajua kuuza wachezaji kama wewe muulize samata.
Yanga ndio utafia hapo hapo .waulize waliochezea yanga wanajuta
Kwahiyo simba toka ianzishwe imeuza samatta tu?, Kwamba hawa waliopo hawataki kufika mbali? Mbona hamuwauzi?. Akili za kamasi hizi 😅😅... Timu haihangaiki kumtafutia mchezaji timu bali uwezo wake, management yake. Lazack Abalora aliachwa na Azam kwa kiwango kibovu ila saizi yupo anacheza Europa huko.
 
Back
Top Bottom