Ni mchezaji wa yanga lakini alitoroka hayupoHii picha ni ya jana na imenifanya kujiuliza Feisal ambae TFF wanatueleza ni mchezaji halali wa Yanga mbona hayumo?View attachment 2621515
Sent from my LLD-AL00 using JamiiForums mobile app
Afu na Manara hapo kasahaulikaNdo nan huyo?
Kweli wewe makovuYanga wenyewe wanajua kuwa dogo kawakataa to the point hataki kabisa kusikia kitu kinaitwa Yanga.
Yap Scars toka south mi ndio big title, nawarusha kwa amapiano si mmechoka kwaito...Kweli wewe makovu
iyo picha kapost nani?Hii picha ni ya jana na imenifanya kujiuliza Feisal ambae TFF wanatueleza ni mchezaji halali wa Yanga mbona hayumo?View attachment 2621515
Sent from my LLD-AL00 using JamiiForums mobile app
Feisal ndo nani?Hii picha ni ya jana na imenifanya kujiuliza Feisal ambae TFF wanatueleza ni mchezaji halali wa Yanga mbona hayumo?View attachment 2621515
Sent from my LLD-AL00 using JamiiForums mobile app
Feisal kuikataa Yanga imeathiri vipi Yanga katika kuchukua ubingwa?Yanga wenyewe wanajua kuwa dogo kawakataa to the point hataki kabisa kusikia kitu kinaitwa Yanga.
Hivi kuna siku hua una akili hata robo?Yanga wenyewe wanajua kuwa dogo kawakataa to the point hataki kabisa kusikia kitu kinaitwa Yanga.
Why Feisal mbona hauja uliza Johora, Ngushi, Ninja, Doumbia?Hii picha ni ya jana na imenifanya kujiuliza Feisal ambae TFF wanatueleza ni mchezaji halali wa Yanga mbona hayumo?View attachment 2621515
Sent from my LLD-AL00 using JamiiForums mobile app
Sijawahi kupima kujua ina gota kwenye robo au juu yake kidogo.Hivi kuna siku hua una akili hata robo?
Mi sijazungumzia habari ya kuathirika ndugu yanguFeisal kuikataa Yanga imeathiri vipi Yanga katika kuchukua ubingwa?
Mbadala wa Fei ni ndugu yake wa dam dam Mudathir Yahya Abbass kiraka huyu anakaba hadi kivuli, anafunga , ana assist Fei Hana namba Tena pale Yanga! Fei Hahitajiki!Yanga wenyewe wanajua kuwa dogo kawakataa to the point hataki kabisa kusikia kitu kinaitwa Yanga.
Then let the kid goMbadala wa Fei ni ndugu yake wa dam dam Mudathir Yahya Abbass kiraka huyu anakaba hadi kivuli, anafunga , ana assist Fei Hana namba Tena pale Yanga! Fei Hahitajiki!
IbThen let the kid go