NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Na mie naunga mkono hojaIpo sababu kubwa mpaka Feisal kuamua kwenda "CAS" kuteketeza pesa zake za urojo lakini kaamua kwenda Tena kwa kujiamini kabisa (kifua mbele).
Endapo atashinda kesi huko "CAS" basi viongozi wa TFF mnapaswa kujiudhuru kwa maana mashabiki wa mpira tutakua tumepata picha kuwa Kuna maamuzi yanatolewa na TFF ni kandamizi kwa wachezaji wetu.
Nawasilisha hoja.
Kwa hoja za kanitukania mama angu!? Thubutuuu.....Ipo sababu kubwa mpaka Feisal kuamua kwenda "CAS" kuteketeza pesa zake za urojo lakini kaamua kwenda Tena kwa kujiamini kabisa (kifua mbele).
Endapo atashinda kesi huko "CAS" basi viongozi wa TFF mnapaswa kujiudhuru kwa maana mashabiki wa mpira tutakua tumepata picha kuwa Kuna maamuzi yanatolewa na TFF ni kandamizi kwa wachezaji wetu.
Nawasilisha hoja.
Na TFF wakishinda?Ipo sababu kubwa mpaka Feisal kuamua kwenda "CAS" kuteketeza pesa zake za urojo lakini kaamua kwenda Tena kwa kujiamini kabisa (kifua mbele).
Endapo atashinda kesi huko "CAS" basi viongozi wa TFF mnapaswa kujiudhuru kwa maana mashabiki wa mpira tutakua tumepata picha kuwa Kuna maamuzi yanatolewa na TFF ni kandamizi kwa wachezaji wetu.
Nawasilisha hoja.