NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Unapokosea siyo vibaya kuomba radhi na maisha mengine yaendelee huku mkono unakwenda kinywani, bila kujali makelele ya wafua vyuma.
Ndiyoooo, nimemuona Feisal wa Taifa Stars ni tofauti kabisa na Feisali kijana pendwa wa kocha Nabi.
Hakika kama Feisal akiendelea kuvimba huko mafichoni, kitakachotokea hata wale waliomjaza upepo watamkimbia na kutokomea kusikojulikana.
Najiuliza mpaka sasa Feisal anafanya mazoezi gani? Je, ni mazoezi stahili ili kujiweka fiti inavyotakiwa?
Nalengwa na machozi kwa kijana fundi, kijana mwenye talanta kupotea kwenye kiza kinene kwa sababu ya siasa za mpira wetu wa Kitanzania hasa hawa mapacha wa Simba na Yanga.
Mliomjaza upepo Feisali, tunaomba mumshauri arudi kuomba radhi ili asipoteze talanta yake ya football, kwa kweli alikaa miezi miwili bila mechi yoyote kaja kuonekana Taifa Stars, bwana mdogo kiwango kimeshuka.
Feisal asiposhituka mapema, namuona kabisa Simba, Azam na Yanga zikimkataa na kukimbilia Ruvu, mtibwa na nk.
Ndiyoooo, nimemuona Feisal wa Taifa Stars ni tofauti kabisa na Feisali kijana pendwa wa kocha Nabi.
Hakika kama Feisal akiendelea kuvimba huko mafichoni, kitakachotokea hata wale waliomjaza upepo watamkimbia na kutokomea kusikojulikana.
Najiuliza mpaka sasa Feisal anafanya mazoezi gani? Je, ni mazoezi stahili ili kujiweka fiti inavyotakiwa?
Nalengwa na machozi kwa kijana fundi, kijana mwenye talanta kupotea kwenye kiza kinene kwa sababu ya siasa za mpira wetu wa Kitanzania hasa hawa mapacha wa Simba na Yanga.
Mliomjaza upepo Feisali, tunaomba mumshauri arudi kuomba radhi ili asipoteze talanta yake ya football, kwa kweli alikaa miezi miwili bila mechi yoyote kaja kuonekana Taifa Stars, bwana mdogo kiwango kimeshuka.
Feisal asiposhituka mapema, namuona kabisa Simba, Azam na Yanga zikimkataa na kukimbilia Ruvu, mtibwa na nk.