NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Hakika ni Jambo la kushangaza sana katika huu mpira wet wakibongo bongo
Feisal salumu ameikataa yanga, nakupotelea kusikojulikana akidai kuwa yanga haimlipi vizuri .
Hakuishia hapo feisali salumu aliamua kuishitaki yanga kwa mama yake mzazi namna gani alivyokuwa anateseka sana pale kambini mpaka kufikia hatua yakula ugali kwa kulumagia na sukari.
Ni mengi sana feisal kayasema kwa mama yake mzazi.
Mpaka Sasa Hana hamu na hataki kabisa kucheza wala kuiskia yanga.
Juzi mkeka wa wito kwenda kuichezea taifa stars umetoka na orodha ya majina imetoka kuwa feisal ni mchezaji wa yanga na anatokea yanga.
Sasa nakuuliza bwana mdogo utakwenda kama mchezaji wa yanga au utaendelea kushikilia msimamo wako kuwa huitaki yanga??
Na ukiitika wito maana yake umevunja msimamo wako kama ulivyoondoka kambini na kuikataa yanga.
Inabidi usimamie msimamo wako kuwa wewe siyo mchezaji wa yanga wakuite kwa jina la timu nyingine lakini siyo yaanga.
Mashabiki tutashangaa ukiitika wito wa taifa stars ukiwa kama mchezaji wa yanga.
Feisal salumu ameikataa yanga, nakupotelea kusikojulikana akidai kuwa yanga haimlipi vizuri .
Hakuishia hapo feisali salumu aliamua kuishitaki yanga kwa mama yake mzazi namna gani alivyokuwa anateseka sana pale kambini mpaka kufikia hatua yakula ugali kwa kulumagia na sukari.
Ni mengi sana feisal kayasema kwa mama yake mzazi.
Mpaka Sasa Hana hamu na hataki kabisa kucheza wala kuiskia yanga.
Juzi mkeka wa wito kwenda kuichezea taifa stars umetoka na orodha ya majina imetoka kuwa feisal ni mchezaji wa yanga na anatokea yanga.
Sasa nakuuliza bwana mdogo utakwenda kama mchezaji wa yanga au utaendelea kushikilia msimamo wako kuwa huitaki yanga??
Na ukiitika wito maana yake umevunja msimamo wako kama ulivyoondoka kambini na kuikataa yanga.
Inabidi usimamie msimamo wako kuwa wewe siyo mchezaji wa yanga wakuite kwa jina la timu nyingine lakini siyo yaanga.
Mashabiki tutashangaa ukiitika wito wa taifa stars ukiwa kama mchezaji wa yanga.