Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Acha usenge wewe sasa unamtisha nani? mrogeni basi, nonda aliondoka yanga vizuri? mbona alitoboa hadi ulaya?Mara zote mchezaji anapoondoka yanga kihuni na kwa ngebe na kebehi nyingi uwa mwisho wake ni mbaya sana, Tunarejea habari za wakina Frank domayo, gadiel maico, ibrahim ajibu, na wengine kilichowakuta wanakijua mpaka sasa wamepotea kwenye ramani ya soka
Kwa maana iyo waombe msamaha wanachama na mashabiki wa yanga kwa maneno ya ovyo uliyokuwa unayatoa vinginevyo kamati ya ufundi aitokuacha salama!
Ni game ya kufa mtu ila mpemba atashinda ET 119mnsKamati ya Ufundi kwa Mpemba?
Si hadi sahii Ubao unasoma Mpemba 3...kwingine hawajapata kitu.Ni game ya kufa mtu ila mpemba atashinda ET 119mns
Tuambie mchezaji gani wa Yanga aliyebaki wa enzi za hao unaowataja ana mafanikio.Mara zote mchezaji anapoondoka Yanga kihuni na kwa ngebe na kebehi nyingi huwa mwisho wake ni mbaya sana. Tunarejea habari za wakina Frank Domayo, Gadiel Maico, Ibrahim Ajibu, na wengine kilichowakuta wanakijua mpaka sasa wamepotea kwenye ramani ya soka.
Kwa maana hiyo waombe msamaha wanachama na mashabiki wa Yanga kwa maneno ya ovyo uliyokuwa unayatoa vinginevyo Kamati ya Ufundi aitokuacha salama!
Na yupo kwenye orodha ya kuachwa tena mwisho wa msimu hapo Namungoš¤£š¤£Binafsi kutokana na umri wake, uelewa wake, jina lake (Fei Toto), nk. Nimechagua kwa moyo mmoja kabisa kumsamehe. Kamwe sitakuwa na kinyongo naye. Awe na safari yenye heri kwenye maisha yake mapya. Naamini pia amejifunza kitu ndani ya hii miezi 6 aliyoitunishia msuli, taasisi kubwa kama Yanga.
Akimbuke pia wapo wachezaji wenzake wengi tu walioenda huko Azam wakitokea Yanga, na mwisho wa siku wameishia tu kuchemka.
Enzi hizo kulikuwa na Frank Domayo!! Akiwa katika kilele chake cha mafanikio pale Yanga, kiasi cha kuitwa chumvi aliondoka na kwenda Azam baada ya kuahidiwa dau nono! Leo hii, Frank Domayo yuko Namungo Fc! Tena hakuna hata shabiki wa Yanga anayemkumbuka.