Wasimrushie tu majini kama mayeleAlisikika akisema "Sina tatizo na Yanga, nina tatizo na Engineer Hersi, akiondoka nitarudi kuchezea Yanga"
Yanga timua Eng ili mumrudishe mchezaji wenu mwenye uwezo wa hali ya juu sana kwa sasa🤣🤣
Mzenji huyo.Wasimrushie tu majini kama mayele
Tulia kama unanyolewaMods, hamisha hii peleka kwenye jukwaa la michezo. Fei Toto siyo mwanasiasa!
Mod acheni hapa hapa, kuna siasa kwa mbaaaaaaliMods, hamisha hii peleka kwenye jukwaa la michezo. Fei Toto siyo mwanasiasa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio FEITOTO ni FEIBABA [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji123][emoji123]
HahahahaAlisikika akisema "Sina tatizo na Yanga, nina tatizo na Engineer Hersi, akiondoka nitarudi kuchezea Yanga"
Yanga timua Eng ili mumrudishe mchezaji wenu mwenye uwezo wa hali ya juu sana kwa sasa🤣🤣