Feitoto na hattrick ya mapema zaidi dhidi ya Kitayose

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Mchezaji FEI TOTO wa Azam FC hii leo katumia kalamu yake ya miguu kuandika rekodi yake ya msimu ambayo inaweza kudumu kwa misimu kadhaa mbele.

Goli la kwanza lilikuwa dakika ya 3' la pili dakika 5' likifungwa na Prince Dube kisha FEI akarudi tena dakika ya 9' na akahitimisha dakika 13' kabla ya mchezo kuvunjwa kikanuni baada ya kubaki na wachezaji 6 baada ya wawili (2) kuumia.

 
Hat triki dhidi ya wachezaji 8 dhidi ya wachezaji 6
 
Kichwa kikuuubwa. Hat trick gani dhidi ya wachezaji 8?
 
Kitayose walipanga matokeo kwenye championship. Ilitakiwa washuke daraja. Lakini TIfuatifua wakaipandisha hadi premiere league, na kuidhulumu Pamba. Malipo ni hapa hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…