GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kolowi fcAhahahhahah
Bilioni moja? Ya Nchi gani!!Naheshimu Kipaji chako na Uwezo wako ila bado hujafikia hiyo Thamani na ukisema Milioni 400 naweza Kukuelewa.
Ukitaka kusikiliza zaidi Bange zake nendeni Crownfmtz mkamsikilize.
sure boy Is 10x Feisal quality.
We ndo unataka kukataa ukweliMh hapa umeongea uongo
Labda ya Zimbabwe!Bilioni moja? Ya Nchi gani!!
Labda ukweli wa kichuki za kishabiki za kiyanga yanga. Sure boy ana takwimu gani ya kumfanya awe bora mara kumi ya Feisali? Embu weka hizo takwimu za Sure boy.We ndo unataka kukataa ukweli
Bora hata ungemsema mdadhir ungeelewekaange kuwa anajua wa bongo wangempa promo hata south hapo akipige.
ila azam wamekurupuka kumpa hela next season wanampiga bench. maana hana hiyo quality. siku kaondoka yanga ndo midfield ime improve.
sure boy Is 10x Feisal quality.
shameful kocha wa taifa a
Labda ukweli wa kichuki za kishabiki za kiyanga yanga. Sure boy ana takwimu gani ya kumfanya awe bora mara kumi ya Feisali? Embu weka hizo takwimu za Sure boywewe ni hater sure boy haingii hata mara mbili Kwa fei.
Kwamba Ukipewa feitoto na mudathir utamchukua Fei??Bora hata ungemsema mdadhir ungeeleweka
sure boy ni better than Fei. sure boy ni umri tu ila bonge moja ya mchezaji. Fei at his age awezi toboaLabda ukweli wa kichuki za kishabiki za kiyanga yanga. Sure boy ana takwimu gani ya kumfanya awe bora mara kumi ya Feisali? Embu weka hizo takwimu za Sure boy.
trust me. Fei offers absolutely nothing in the mid field. very averageMh hapa umeongea uongo