kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Sijui kama felix anakomboa Kongo au anazidi kuipoteza Congo.
Wakongomani tulimtukana Katumbi kwa kusema sio mkongomani sijui maneno mengi alivyosema kuna ya kuachana na vita hivi tujenge kwanza jeshi imara.
Ambalo litakuwa na uwezo wa kupambana kuliko kushirikisha majeshi mengine ya nchi zingine kuja kutusaidia maana katika majeshi hayo kuna baadhi yao sio waamanifu na wananchi hawana imani nao.
Wengi walimtukana na kusema sio mkongomani sijui yeye ndo kiongozi wa M23 walimpa majina yote mabaya
Haya leo tuko wapi.
Kwanini tunaandana sasa kudai jeshi la Kenya litoke ndani ya nchi yetu. Si mlisema wanakuja kutusaidia waache watusaidie tu.
Kumbukeni hata lorent kabila ambaye alituletea upumbavu huu ndani ya nchi yetu alishirikiana na nchi jirani kwa makubaliano yao leo hii tunalipa kwa damu.
Uhuru wakongo utapatikana kwa wakongomani wenyewe tukiwa na kiongozi mwenye akili nzuri ambaye sio mlalamikaji kama felix. yule kagame tunamuondoa madarakani kwa dakika tu.
Tukiachana na ushabiki Katumbi michezo hiyo anaijua vizuri kama Kabila alimuogopa Kagame ni nani?
Wakongomani tulimtukana Katumbi kwa kusema sio mkongomani sijui maneno mengi alivyosema kuna ya kuachana na vita hivi tujenge kwanza jeshi imara.
Ambalo litakuwa na uwezo wa kupambana kuliko kushirikisha majeshi mengine ya nchi zingine kuja kutusaidia maana katika majeshi hayo kuna baadhi yao sio waamanifu na wananchi hawana imani nao.
Wengi walimtukana na kusema sio mkongomani sijui yeye ndo kiongozi wa M23 walimpa majina yote mabaya
Haya leo tuko wapi.
Kwanini tunaandana sasa kudai jeshi la Kenya litoke ndani ya nchi yetu. Si mlisema wanakuja kutusaidia waache watusaidie tu.
Kumbukeni hata lorent kabila ambaye alituletea upumbavu huu ndani ya nchi yetu alishirikiana na nchi jirani kwa makubaliano yao leo hii tunalipa kwa damu.
Uhuru wakongo utapatikana kwa wakongomani wenyewe tukiwa na kiongozi mwenye akili nzuri ambaye sio mlalamikaji kama felix. yule kagame tunamuondoa madarakani kwa dakika tu.
Tukiachana na ushabiki Katumbi michezo hiyo anaijua vizuri kama Kabila alimuogopa Kagame ni nani?