kwisha JF-Expert Member Joined Sep 9, 2021 Posts 1,779 Reaction score 4,982 Jan 27, 2023 #1 Hivi chama tawala cha felix tshisekedi kinajisikiaje pale wanapo ona nchi zote zenye nguvu wakimuunga mkono Moise Katumbi. Hapa ni picha ya ambassada wa Belgium, USA, China, Ufaransa na Israel wakiwa nyumbani kwa katumbi Kazi anayo
Hivi chama tawala cha felix tshisekedi kinajisikiaje pale wanapo ona nchi zote zenye nguvu wakimuunga mkono Moise Katumbi. Hapa ni picha ya ambassada wa Belgium, USA, China, Ufaransa na Israel wakiwa nyumbani kwa katumbi Kazi anayo
M mockers JF-Expert Member Joined Nov 19, 2013 Posts 12,843 Reaction score 35,442 Jan 27, 2023 #2 Atajisikiaje sasa?
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Jan 27, 2023 #3 Katumbi ana mali Tshekedi ana miwani na kipara,Belgium,China wanataka mali sio miwani na kipara.
H Hennes kolon JF-Expert Member Joined Jan 13, 2023 Posts 673 Reaction score 1,294 Jan 27, 2023 #4 Felix tsheked ,amejaa visasi mno.wameamua kumuonyesha wazi ,mtu wanaemtaka na kumkubali
Congo JF-Expert Member Joined Mar 13, 2008 Posts 2,081 Reaction score 2,325 Jan 27, 2023 #5 Hao si wapiga kura. Waamuzi ni wananchi wa Congo. Hao wanamuunga mtu wa damu yao. Katumbi ana damu ya wazungu. Wacongo watampigia kura mtu wa damu yao
Hao si wapiga kura. Waamuzi ni wananchi wa Congo. Hao wanamuunga mtu wa damu yao. Katumbi ana damu ya wazungu. Wacongo watampigia kura mtu wa damu yao
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 14,239 Reaction score 15,876 Jan 27, 2023 #6 Hujui siasa kumbuka kilicho tokea uchaguzi wa Kenya 2022.
kwisha JF-Expert Member Joined Sep 9, 2021 Posts 1,779 Reaction score 4,982 Jan 27, 2023 Thread starter #7 Congo said: Hao si wapiga kura. Waamuzi ni wananchi wa Congo. Hao wanamuunga mtu wa damu yao. Katumbi ana damu ya wazungu. Wacongo watampigia kura mtu wa damu yao Click to expand... Katumbi ndiye anaye pendwa zaidi kuliko felix ila hawa watasaidia katumbi asiibiwe kura zake
Congo said: Hao si wapiga kura. Waamuzi ni wananchi wa Congo. Hao wanamuunga mtu wa damu yao. Katumbi ana damu ya wazungu. Wacongo watampigia kura mtu wa damu yao Click to expand... Katumbi ndiye anaye pendwa zaidi kuliko felix ila hawa watasaidia katumbi asiibiwe kura zake
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Jan 28, 2023 #8 Kwenye Maslahi yao lazima utawaona China wakishirikiana na Marekani
Mateso chakubanga JF-Expert Member Joined May 10, 2021 Posts 587 Reaction score 800 Jan 28, 2023 #9 Mmaaa!!!! kama mjomba yake amemtembelea basi mfumo wa tume utakua taaban kuchakata ya Felix utaslow naadd Moise Katumbi mwana wa Katanga , hongera Mh Moise Katumbi Rais ajae wa DRC
Mmaaa!!!! kama mjomba yake amemtembelea basi mfumo wa tume utakua taaban kuchakata ya Felix utaslow naadd Moise Katumbi mwana wa Katanga , hongera Mh Moise Katumbi Rais ajae wa DRC
Mbo Mpenza JF-Expert Member Joined Apr 11, 2017 Posts 445 Reaction score 1,114 Jan 28, 2023 #10 Mke wa katumbi si ni mtutsi yule kabisa. Damn!!! Aisee
Bugucha JF-Expert Member Joined Jan 3, 2020 Posts 3,374 Reaction score 13,922 Jan 28, 2023 #11 Kibaraka huyo, Felix ndio Rai wa wananchi
G godknows Member Joined Apr 7, 2016 Posts 29 Reaction score 47 Jan 28, 2023 #12 Hapo ni suala la mda tu, felix ni nusu kibaraka wakati moise ni kibaraka kamili. Hakuna mwenye uchungu na wakongoman hata aliyetoka madarakani. Kongo safari yake ni ndefu sana mpaka wafike kwenye political stability.
Hapo ni suala la mda tu, felix ni nusu kibaraka wakati moise ni kibaraka kamili. Hakuna mwenye uchungu na wakongoman hata aliyetoka madarakani. Kongo safari yake ni ndefu sana mpaka wafike kwenye political stability.
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Jan 28, 2023 #13 Congo haitokuja kutulia mpaka vibaraka na walanguzi waishe
T14 Armata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2017 Posts 12,362 Reaction score 41,886 Jan 28, 2023 #14 Felix sio smart wala very powerful kwahiyo hana chance within DRC na nje. Katumbi ni smart, ana nguvu na kibaraka wa hali ya juu kuliko Felix. Wote hao wana madhaifu ila bora Congo ibaki na Felix kuliko aje Katumbi. Na kuvunjika kwa Congo ni rahisi endapo Katumbi atataka hivyo
Felix sio smart wala very powerful kwahiyo hana chance within DRC na nje. Katumbi ni smart, ana nguvu na kibaraka wa hali ya juu kuliko Felix. Wote hao wana madhaifu ila bora Congo ibaki na Felix kuliko aje Katumbi. Na kuvunjika kwa Congo ni rahisi endapo Katumbi atataka hivyo