Latimore Mimo wangeci
JF-Expert Member
- Feb 1, 2019
- 898
- 1,081
But kusema ukweli nikama anaforce Tanzanians watuchukie there things you dont do as a leader hakuna hata siku moja unye ameongelea about huyo msee ama kutusi Tz ama kuchoma kuku zenu etc,thats how an intelligent leader shud actah ah Bro that is not fair to call our leader ni fool !! and who told you that Mr.President he doesn't love Kenya ? unajua kama Raila ni best friend wake kitambo !!!
But kusema ukweli nikama anaforce Tanzanians watuchukie there things you dont do as a leader hakuna hata siku moja unye ameongelea about huyo msee ama kutusi Tz ama kuchoma kuku zenu etc,thats how an intelligent leader shud act
Hahaha ni nyinyi muli ji sideline haha.lakini hapo kwa Tz kuwa nchi moja na kenya tricky coz kenyans hawawezi kubali na pia most Tzanians pia hawawezi daitrade war is every where brother na hii kitu haikuanzia kwa regime ya magufuli na uhuru pekee yake... before JK hajaondoka madarakani hapa TZ Kenya mli zuia magari ya TZ yasiingie ktk maeneo ya vivutio vya utalii kule Kenya then TZ waka piga restriction kwa ndege za Kenya sijui walipiga restriction gani nimesahau kidogo.. later on Kenya wakazuia Unga toka Tz usiingie Kenya nakumbuka ule unga ulikuwa unasafirishwa kwenda somali kama sijakosea then ndio ikaibuka issues ya maziwa na kuku zenu mara ikaja issue za mifugooo therefore hamna kitu kinachoitwa chuki ndidi ya KE, hawa viongozi wapo leo kesho wanaondoka ila KE na TZ wataziacha who knows may be one day in future tutakuwa nchi moja as we move on na political federation ..... japo kenya kidogo last years mlitaka kutu sideline ndani ya EAC 😀😀😀😀😀 (joking) unakumbuka ile collision of willingness ? that was outcast attempt
yaani unalingia kwenda burundi through tz
1.Distance issue
2. Road toll issue :i.e a custumer has to pay double road toll
Mimi naona mna advantage on Uganda only
Me thinks it's like Tanzania has no bragging right to be centre of universe ,anything and everything gravitates towards it.What's the point?
Nope.... That huge landmass full of minerals requires aggressive thinkers.
Ajue tu Tanzania ndio supplier wa dawa pharmaceuticals sadc nzima, the only one default supplierTanzania inapendwa saana congo na sadc yote bt uzembe wa viongozi watz kutoitumia hiyo nafasi kibiashara ndio ilikuwa kikwazo lkn magu ameligundua hilo
Alafu inaonekana kama vile jiwe yupo beneti saana na dstv
Sent using Jamii Forums mobile app
Good for you,but EAC is more better huko nyi ni underdog mbaya,hao wasee wanawapenda juu ya u softi yenu,in short day mtakuwa wakali watawaacha ,Kenya haijaitambua SA toka kitambo n hio staff bdo inaendelea hadi sai ,its easier for a tz to go to SA than a kenyan na pia si easy SA kukam kenya juu ya history sijui walikuwa wanataka tusome nelson mandela by force na sisi hatukutaka nini,but thats also one of the issue ya enemity
Binadamu wana roho mbaya sana, yaani kiongozi yeyote anayechagua AMANI wanamuita “KIBARAKA” yaani mlitaka mapigano na fujo DRC ziendelee?! Kudos Tshekedi.
Leta ushahidi tafadhali.Ajue tu Tanzania ndio supplier wa dawa pharmaceuticals sadc nzima, the only one default supplier
Sasa mbona hawawapi msaada muda huu magaidi wanasumbua sasaNi history tu kati ya kenyatta na haille Selassie,ethiopia walisaidia sana maumau ndo tukapata independence na pia kenya iliwahelp time yenye Italy ilitaka kuinyakua,n btw Jomo n sellasie were bestfriends hakuna mtu hajui hio,wali sign.treaty that siku yeyote kenya itaitaji usaidizi ethiopia watatusaidia n viceversa but sana sana in terms of war,n uhuru akiwa huko pia akai renew tena n i think hio treaty walisign.1964 ebu sasa imagine
South wameitumia giants lini Tanzania?Ni same na nyinyi heard mulisaidia SA kupata independence but Kenya walijitenga SA ikasema ati kenya walikuwa wana support wazungu na apartheid i endelee n pia before that kulikuwa tu na issues na mandela na visits zake kenya,so hio inafanya sana.SA na kenya kutoelewana mpaka wa leo,so history ni muhimu,ndo maana south wanawapenda sana lakini sa ingine wanawatumianga vibaya
Hii chai yako ni ya moto sana ngoja nishushie na maandazi mawili+karanga mbichi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
nakuunga mkono, mabishano ya chuki hatutaki hasa kusingizia vitu viongozi wetu without evidence, habari za ugaidi siyo za kuchekana this can happen anywhereBut kusema ukweli nikama anaforce Tanzanians watuchukie there things you dont do as a leader hakuna hata siku moja unye ameongelea about huyo msee ama kutusi Tz ama kuchoma kuku zenu etc,thats how an intelligent leader shud act
Na sitaki kujua mbna nijue am kenyan,am nt Tanzanian but gud for you,endelea kuona ivyoHujui chochote kuhusu Tanzania na sadc
Mtu akikupea usaidzi si lazma aonyeshe n plus kenya haikushindwa so ka tungesema tumeahindwa ndo wangekam but kila kitu ilikuwa undercontrol na pia imagine wakenya kuona hapo jeshi ya Ethiopia hainhekuwa picha poa,n btw uchumi si kitu wako almost 190M n wenge wanaumia n wengi wanakimbilia kenya the north eastern partSasa mbona hawawapi msaada muda huu magaidi wanasumbua sasa
Hivi unajua kuwa Ethiopia ni nchi yenye uchumi mfuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
If you say soSouth wameitumia giants lini Tanzania?
Hivi unajua kuwa Tanzania ndio msambazaji mkuu wa dawa nchi za sadc ?
Sent using Jamii Forums mobile app