Latimore Mimo wangeci
JF-Expert Member
- Feb 1, 2019
- 898
- 1,081
Thnx kwa kufunguka macho yaani ana taka TZ watuchukie mbaya sana na kitu kama ugaidi si kitu ya kucheka juu it can happen anywhere in the world n plus hao watu wote wenye walikufa walikuwa na family wengine walikuwa baba na mama sasa imagine mtoto amekuwa orphan hapo hakuna kitu ya kucheka aki,kuna pahali haufai kuleta jokes kitu ka ugaidi mtu huwa aleti mchezonakuunga mkono, mabishano ya chuki hatutaki hasa kusingizia vitu viongozi wetu without evidence, habari za ugaidi siyo za kuchekana this can happen anywhere
Mtu akikupea usaidzi si lazma aonyeshe n plus kenya haikushindwa so ka tungesema tumeahindwa ndo wangekam but kila kitu ilikuwa undercontrol na pia imagine wakenya kuona hapo jeshi ya Ethiopia hainhekuwa picha poa,n btw uchumi si kitu wako almost 190M n wenge wanaumia n wengi wanakimbilia kenya the north eastern part
He has neverFelix ameenda Rwanda lini?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Makosa hufanyika pande zote,refer EPAHahaha ni nyinyi muli ji sideline haha.lakini hapo kwa Tz kuwa nchi moja na kenya tricky coz kenyans hawawezi kubali na pia most Tzanians pia hawawezi dai
He has never