Female brain!

this is jf phase II....
Pape ana shida hiyo...Huwa haweki maelezo ya picha anazoweka!
Sijui huwa anamaanisha nini, kila mtu atafsiri anavyoelewa au!!!
 
this is jf phase II....

Akili mkichwa, ukianza kufafanua kila unachoweka hapa ili hata akina maimuna waelewe basi itabidi uwepo hapa masaa 24 yote tangu jumatatu hadi jumapili.
 
Thank you very much! You've nailed it!
Akili mkichwa, ukianza kufafanua kila unachoweka hapa ili hata akina maimuna waelewe basi itabidi uwepo hapa masaa 24 yote tangu jumatatu hadi jumapili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…