Mm mmasai na huko nyuma nilitokea sana kuwakubali wakenya sababu ndugu zetu wa kimasai wanaishi kenya,, hiki kilinifanya niwe na mapenzi ya dhati kwa nchi ya kenya....kilichonifanya niwaone ni watu wa ovyo na waajabu ni siku moja nikiwa sehemu yangu ya kazi na niliwapokea wagen kutoka kenya,,, nikashindwananao kuendelea nao kama tunapofanyaga kwa wageni wengine wa ndani na wa nje cz ujuaji wao, kila kitu wanaona wanajua, by the way nilichokifanya niliondoka na kuwaacha wababa wale na wamama wale na watoto wao wajiongoze wenyewe, mda wanaondoka walinitafuta nikakataa kuonanao cz niliona ni washamba sana!! Kenyan guys your so smart but punguzeni ujuaji popote mwendazo!! Be humble