Una mali kiasi gani? Linganisha mali ulizonazo nyumbani zinazoibika na gharama ya fence utakayojenga, ni dhahiri madirisha yana grill piga gharama zake. Fedha zako weka benki. Siku hizi dili ni kuiba kwa kwa akili, kwa simu tu jamaa unawapa watakacho kwa hiari yako. Cha ajabu unakuta mtu amejenga nyumba, madirisha yote yana grill, anajenga na ukuta ya nini yote hayo?? Badala yake ni wewe mwenyewe unajiweka gerezani ukizuka moto fire brigade hawawezi kuingia kukuokoa, majambazi yakikuingilia utashindwa kupata msaada....
Nakushauri kwa kutunza mazingira na mandhari safi ni bora fence ya michomgoma na hata miti ya aina nyingine inapendeza. Twende na wakati.