dalalimhenga
Member
- Feb 28, 2022
- 27
- 6
Feni inauzwa
Bei ni Tshs 50,000
Ipo Mbezibeach
Piga 0742141467
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ainyofoe yake? Hapo ipo mahali ni yeye kwenda kuichomoa tu.Ushainyofoa hapo juu au unauza hapo hapo juu?
Kwa hiyo yeye ni ...?Dah!Ainyofoe yake? Hapo ipo mahali ni yeye kwenda kuichomoa tu.
bei ya dukani hi bwasheeBei ni Tshs 50,000
Wengine hatujui bei kama ni ya dukani, nyumbani au njiani.Ungetuacha tuimbe naye tu.bei ya dukani hi bwashee
Mimi mwenyewe sijui.Waliniwekea kiwandani.Nifundisheni jinsi ya kuweka emoji Moisemusajiografii
Kamba. Au kweli uliwekewa kwa kile kiwanda cha Mo chungwa?Mimi mwenyewe sijui.Waliniwekea kiwandani.
Ulikuwepo nini?Haohao.Unapotaka ku-like komenti,bonyeza kwa muda kidogo,halafu zitakuja emoj kadhaa.Utachagua uitakayo.Sawa mkuu?Kamba. Au kweli uliwekewa kwa kile kiwanda cha Mo chungwa?
Astaghifilullah!Nimekuwa "bebi" tena?Hakyamama wafijana wa siku hisi figayu na vahutufu kabisa!Bebi?😂😂😂😂Sawa bebi
Hivi baba yako unaweza kumuita bebi.Macholo kweli weye!Heee, imekua ugomvi tena? Nyie wanyakyusa vipi? Nimekoma
Mimi mlemavu wa macho. Ningekuwa naona nisingemuita bebi, masafi ya mitume tenaHivi baba yako unaweza kumuita bebi.Macholo kweli weye!
Usijali.Hiyo avatar yangu huwa inawapeleka resi vijana waruwaru.Sikulaumu.Mimi mlemavu wa macho. Ningekuwa naona nisingemuita bebi, masafi ya mitume tena
Ungepigwa mkia halafu nakununulia hilo pangaboi iitwayo feni ya juu.😂😂😂😂😂Bora umeniambia ukweli maana nilitaka tuhamie DM