Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetupilia mbali ombi la dhamana ya mshtakiwa, lililowasilishwa na Serikali badala yake imempa masharti mshtakiwa huyo, ambayo ameshindwa kuyatimiza.
Ndikuriyo, ambaye ni msanii wa muziki na raia wa Burundi anakabiliwa na shtaka moja la kuwepo nchini bila kuwa na kibali.
Uamuzi huo umetolewa na leo, Novemba 19, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu, Yusto Ruboroga, baada ya kupitia maombi yaliyowasilishwa na upande wa mashtaka na ule utetezi kuhusiana na kuzuia dhamana ya mshtakiwa huyo.
PIA SOMA
- Ferdnand Ndikuriyo (Chuma cha Chuma) afikishwa Mahakamani, akabiliwa na Kesi ya kujibu