Ferguson anadai wachezaji woote aliowafundisha ni hawa wanne tu ndo world class
wengine wote kawaida sana including Beckham Keane na Rooney ..
kwake Cantona,Gigs Ronaldo na Scholes ndo walikuwa world class...
jamaa Beckham bado hampendi kabisa naona
Alex Ferguson: I only had four world class players Manchester United |
Manchester United wamepita zaidi ya World Class 15.
Rooney naye sio world class?
Rooney is not...
Rooney is a WC, acha kuongea kishabiki.
Sijui alitumia vigezo gani au kwake yeye WC anampimaje? Kwangu mimi kumuacha Nisterooy,Roy Keane,Beckham naona hajatenda haki kabisa,kesho Alhamis atakuwa na interview tena katika MUTV itakuwa vizuri hili swali likirudiwa au muongozaji amuulize tena kwanini hao wanne tu . Yote juu ya yote much respect kwake Sir Alex tunammiss sana kipindi hiki.
Hata huyu si world class?? Ole Gunnar Solskjær
Sijui alitumia vigezo gani au kwake yeye WC anampimaje? Kwangu mimi kumuacha Nisterooy,Roy Keane,Beckham naona hajatenda haki kabisa,kesho Alhamis atakuwa na interview tena katika MUTV itakuwa vizuri hili swali likirudiwa au muongozaji amuulize tena kwanini hao wanne tu . Yote juu ya yote much respect kwake Sir Alex tunammiss sana kipindi hiki.
Yaani Dwight Yorke sio wc,jaap stam sio wc Rio Ferdinand sio wc ,nemanja matic sio wc ,Wayne Rooney sio wc ,
Hahahahah.gaffer anazeeka vibaya sana.
Hao aliowataja ni maswahiba wake na ni kwamba walikuwa wanamtii sana kama mfalme ila sio vinginevyo
I think schmeichel should replace Scholes