issakwisa6810
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 309
- 84
Inasikitisha sana mkuuso sad
Hatari Sana ndugu
Hatari Sana ndugu
Nikweli ndugu, hapa ndipo ninapo uona umuhimu WA elimu ya Huduma ya kwanza kwa wachezajiHii mipira ya kichwa kuna haja ya FIFA kukaa chini na kutafuta namna ya kuzuia matukio kama haya. Bahati nzuri wacheza wenzie walikuwa makini na kuwahi kuuondoa ulimi wake ili usizibe hewa vinginevyo angekuwa marehemu saa hizi.
Nikweli ndugu, hapa ndipo ninapo uona umuhimu WA elimu ya Huduma ya kwanza kwa wachezaji
Duuu!!Hii mipira ya kichwa kuna haja ya FIFA kukaa chini na kutafuta namna ya kuzuia matukio kama haya. Bahati nzuri wacheza wenzie walikuwa makini na kuwahi kuuondoa ulimi wake ili usizibe hewa vinginevyo angekuwa marehemu saa hizi.
Duuu!!
Ilikuwa hatari namna hiyo?
God is great.¡BUENAS NOTICIAS!: A fernandotorres se le ha realizado TAC craneal y cervical. No hay alteraciones ni lesiones traumáticas está consciente y orientado, pasará la noche en observación en el hospital por protocolo médico. ¡Gracias por todos los mensajes de apoyo! -
GOOD NEWS!:
fernandotorres has undergone a cranial and cervical CT. There are no alterations nor traumatic injuries, conscious and lucid, he will spend the night in hospital for observation as per medical protocol. Thanks for the messages of support for Torres. -