Fernando Torres kaumia vibaya na kuzimia uwanjani

issakwisa6810

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
309
Reaction score
84
Fernando Torres kazimia uwanjani baada ya kuruka kupiga kichwa mpira ndipo alipo dongoka na kutanguliza kichwa na kubana mdomo na kuzimia,tupeane habari zake kwani alitolewa na machela kwenda hospitali
 
AJALI KAZINI.....

FERNANDO TORRES APATA AJALI MBAYA AKIWA UWANJANI LEO HII BAADA YA KUCHEZEWA FAULU KATIKA MCHEZO ULIO ZIKUTANISHA TIMU YA DEPORTIVO LA CORUNA vs ATLETICO MADRID...

TORRES ALIGONGWA KICHWANI WAKATI ANAGOMBANIA MPIRA WA JUU DHIDI YA MCHEZAJI WA DEPORTIVO LA CORUNA [emoji116]

MCHEZO ULISIMAMA KWA TAKRIBANI DAKIKA 10 HUKU BAADHI YA WACHEZAJI WAKIONEKANA KUWA NA HUZUNI KUBWA MPAKA KUTOKWA MACHOZI....

AMEPATIWA HUDUMA YA KWANZA ILA HAKUWEZA KU RECOVER HALI ILIYO PELEKEA AKIMBIZWE HOSPITAL [emoji541]
 
Hii mipira ya kichwa kuna haja ya FIFA kukaa chini na kutafuta namna ya kuzuia matukio kama haya. Bahati nzuri wacheza wenzie walikuwa makini na kuwahi kuuondoa ulimi wake ili usizibe hewa vinginevyo angekuwa marehemu saa hizi.

Hatari Sana ndugu
 
Reactions: MTK
Hii mipira ya kichwa kuna haja ya FIFA kukaa chini na kutafuta namna ya kuzuia matukio kama haya. Bahati nzuri wacheza wenzie walikuwa makini na kuwahi kuuondoa ulimi wake ili usizibe hewa vinginevyo angekuwa marehemu saa hizi.
Nikweli ndugu, hapa ndipo ninapo uona umuhimu WA elimu ya Huduma ya kwanza kwa wachezaji
 


Following the initial commotion, Atlético Madrid revealed on their Twitter feed that the player came out with a head injury, but his life is not in danger.

Nikweli ndugu, hapa ndipo ninapo uona umuhimu WA elimu ya Huduma ya kwanza kwa wachezaji
 
Reactions: 999
Hii mipira ya kichwa kuna haja ya FIFA kukaa chini na kutafuta namna ya kuzuia matukio kama haya. Bahati nzuri wacheza wenzie walikuwa makini na kuwahi kuuondoa ulimi wake ili usizibe hewa vinginevyo angekuwa marehemu saa hizi.
Duuu!!
Ilikuwa hatari namna hiyo?
 
Reactions: BAK
¡BUENAS NOTICIAS!: A fernandotorres se le ha realizado TAC craneal y cervical. No hay alteraciones ni lesiones traumáticas está consciente y orientado, pasará la noche en observación en el hospital por protocolo médico. ¡Gracias por todos los mensajes de apoyo! -

GOOD NEWS!:
fernandotorres has undergone a cranial and cervical CT. There are no alterations nor traumatic injuries, conscious and lucid, he will spend the night in hospital for observation as per medical protocol. Thanks for the messages of support for Torres. -
 
Anaendelea vizuri na anaweza kuzungumza na ameshukuru kwa wapenzi wote wa soka kwa kumwombea bado yupo chini ya uangalizi wa madaktari ataruhusiwa soon
 
God is great.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…