Ferooz: 2016 nitasikika zaidi

Huyu teja kwisha habari, nilikutana nae mitaa ya sinza mori asubuhi ya saa mbili anayumba kishenzi.Anagongea lift ya boda na bajaji wanamchomolea. Ngada mbaya sana.
 
Hujao
Huyu teja kwisha habari, nilikutana nae mitaa ya sinza mori asubuhi ya saa mbili anayumba kishenzi.Anagongea lift ya boda na bajaji wanamchomolea. Ngada mbaya sana.
Hujaona ajali popote Leo?
 
Hivi vijana inakuwaje wanajiingiza kwenye matumizi ya madawa ya kulevya?

Ni malezi au nini?
 
Alhamdullilah Mungu amenipa maisha yangu ya kawaida maana hawa wanaopata umaarufu channel zikikata wanakua wehu kabisaaa.
 
Akitoa ngoma moja matata mnanda flani kama ule aliowahi toa kipindi flani anarudi kwenye game regardless hayo makapa anayovuta kama ni kweli anavuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…