Ferooz: Nimejifunza

unga kitu mbaya sana... huyu mtu alikua mzuri sana, sasa sijui anaimba lugha gani. Anyway, tumpe muda vile kagundua kosa, atainuka, insha allah...
 
Duu mbn wimbo hat sijaulewa pipiii ndy nn hay ngoja nifany yngu
Huu wimbo ni mkali sana na Ferooz amerudi kwa kasi ya ajabu, ahsante sana Ferooz. Inabidi umsikilize kwa makini sana nini anakisema maana katumia lugha ya picha.

Anasema "gari langu lilinasa kwenye big G, mwaka huu sasa ni pii pii, nimejifunza kuwa ukikaa kwenye bench wabaya utawajua na wazuri utawajua".

Hayo maneno ya ni mazito sana kama unatafakari kwa kina. Alikuwa nje ya game kwa muda mrefu (alinasa kwenye big G) mwaka huu atafanya jitihada ili litoke na atatanua mjini kwa honi pii pii. Anasema nimejifunza kwa muda wote aliokaa benchi amefanikiwa kuwajua wazuri na wabaya wake.

Rudia tena kuusikiliza huu wimbo wa watu wazima, ameutendea haki umri wake kwa lugha inayorandana naye.

Ahsante Ferooz
 
kweli Tanzania wote wasanii!

halafu ukiwa na sura ya wahi duniani usiweke location za u local jaman
 


Njaa mbaya anataka kujifanya Yamoto Band
 

Eti ninii??
 
Cha kumshauri aanzishe bifu na diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…