hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 539
Ndi ndi ndi ndii umeelewa?Duu mbn wimbo hat sijaulewa pipiii ndy nn hay ngoja nifany yngu
Huyu nae atafute kazi nyingine tu.
Bongo bado mziki sio ajira rasmi bado ni maisha ya kubahatisha tu,hata hao tunaosema wamefanikiwa nao bado hawana foundation nzuri endepo akianguka hana pakusimamia tena..!!hatuna wafanya biashara wa kazi za muziki,hatuna record label nzuri,hatuna maandalizi mazuri ya wasanii wanao chipukia,muziki wetu hauna direction yaani hatuna tune ya kitanzania kwamba ukiwa cameroon au SA ukisikia wimbo unajua huu ni wanyumbani bongo..!!Kwenye sanaa bado kunaujanja ujanja thats why i prefer Bongo HipHopHapa ingekuwa diamond ungeona hizo sifa anazopewa hapa ila kwa kuwa ni ferooz kashfa mtindo mmoja.
Hahahah kweli mzee wana walimsaka sana sijui iliishaje. Mimi nilirudi A Town.Hahaha! Kakimbia na Silva?!
Feruzi huyu huyu mzee wa Starehe?! Kweli maisha ni kurebembe!
noma kweliKila zama na kitabu chake. Ugiriki pia iliwahi kutawala dunia