Feza kessy in danger zone

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mshiriki wa big brother the chase week hii imekuwa mbaya kwake kwani ameingia kwenye danger zone,watanzania na wana afica mashariki inabidi tumpigie kura mwenzetu ili aweze kubakia mjengoni
 
Mshiriki wa big brother the chase week hii imekuwa mbaya kwake kwani ameingia kwenye danger zone,watanzania na wana afica mashariki inabidi tumpigie kura mwenzetu ili aweze kubakia mjengoni
Wewe Jinga sana, kuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kupigia kura mashindano hayo ya kishetani? tena atolewe haraka arudi nyumbani tumechoka kuaibishwa.
 
Hahahaha,huyu matola humu tu ni dictator sasa kwake si ndo balaa wajameni.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…