Huyu demu alikuwa anasoma certificate ya IT IFM miaka ya nyuma, sijui shule yake ikaishia wapi?
Ka mkali ameolewa?!
Alishindwa shule kaka,akarudi Arusha baadaye akaenda nje.
Hahaha,
Basi sijitolei tena uanasheria kumburuza jamaa kwa pilato,kumbe sio wewe!!!
Haya Faiza mmpigie Kula bin support kwani bora kuliko tungeona wema wa wema kwenye luninga live!!!
Ha ha ha kama hujitolei bac ntawatumia washikaj zangu wa K&M advocate pale.
We nitose tu...c umeamua kuwa upande wa tcha.
ha haaaa chezea chu.pi wewe, usikute tayari ada Phd, uumesahau ile CV ya Vick Kamata, cert to master degree!
Atlast umerekebisha hansard,hahaha,naogopa na mimi nisijetaka kukuoa kwa " mantiki ile" halafu ukaishia kuniburuza kwa pilato bure, maana Una uchungu na uzalendo na kipochi manyoya chako kama watu wa Mtwara na gesi Yao!!!!
washiriki wa BBA mwaka huu from TZKuanza kunguruma leo big brothr afrca.....mwambie lolote...
We acha tu.......,si unajua kuna mikataba tayar niliingia juu ya huo mgodi.Ss yy anataka kuwadhurumu wachimbaj wadogo,nikaja juu maana bungen ningesema nn mie.Mzee wa kanun 68 angeomba muongozo bureeee.!!!!!
jamani mimi naomba niulize,kuna faida gani wanapata watazamaji kuangalia big brother?
Ni burudani tu kama kuangalia mpira, ma-miss n.k
Kuanza kunguruma leo big brothr afrca.....mwambie lolote...
jamani mimi naomba niulize,kuna faida gani wanapata watazamaji kuangalia big brother?
Uwekezaji unaruhusiwa kwa wachimbaji wadogo,mimi naomba tuunde ushirika au ubiq basi kwenye huo mgodi niwe nachimba japo kwa msimu!!!Hata huyo mzawa atakuelewa tu ukinipa fursa,fursa kuhudumia kipochi manyoya na mifuko yake,haihitaji degree na pia mgodi hauishi wala Mali asili haichachi,kaazi Kerri Kerri!;!!