Feza Kessy

Alishindwa shule kaka,akarudi Arusha baadaye akaenda nje.

ha haaaa chezea chu.pi wewe, usikute tayari ada Phd, uumesahau ile CV ya Vick Kamata, cert to master degree!
 
namuomba ajiheshimu akiwa mshiriki kutoka tanzania (sio mwakilishi wa Tanzania) ili atutunzie heshima yetu,
ya ustaarabu
 
Hahaha,
Basi sijitolei tena uanasheria kumburuza jamaa kwa pilato,kumbe sio wewe!!!

Haya Faiza mmpigie Kula bin support kwani bora kuliko tungeona wema wa wema kwenye luninga live!!!

Ha ha ha kama hujitolei bac ntawatumia washikaj zangu wa K&M advocate pale.
We nitose tu...c umeamua kuwa upande wa tcha.
 
Ha ha ha kama hujitolei bac ntawatumia washikaj zangu wa K&M advocate pale.
We nitose tu...c umeamua kuwa upande wa tcha.


Atlast umerekebisha hansard,hahaha,naogopa na mimi nisijetaka kukuoa kwa " mantiki ile" halafu ukaishia kuniburuza kwa pilato bure, maana Una uchungu na uzalendo na kipochi manyoya chako kama watu wa Mtwara na gesi Yao!!!!
 
Atlast umerekebisha hansard,hahaha,naogopa na mimi nisijetaka kukuoa kwa " mantiki ile" halafu ukaishia kuniburuza kwa pilato bure, maana Una uchungu na uzalendo na kipochi manyoya chako kama watu wa Mtwara na gesi Yao!!!!

We acha tu.......,si unajua kuna mikataba tayar niliingia juu ya huo mgodi.Ss yy anataka kuwadhurumu wachimbaj wadogo,nikaja juu maana bungen ningesema nn mie.Mzee wa kanun 68 angeomba muongozo bureeee.!!!!!
 
Huyo mtoto atakutana na ma bro men... Mwenye swaggz
Hachelewi kubambiwa huyo...
 
jamani mimi naomba niulize,kuna faida gani wanapata watazamaji kuangalia big brother?
 
We acha tu.......,si unajua kuna mikataba tayar niliingia juu ya huo mgodi.Ss yy anataka kuwadhurumu wachimbaj wadogo,nikaja juu maana bungen ningesema nn mie.Mzee wa kanun 68 angeomba muongozo bureeee.!!!!!


Uwekezaji unaruhusiwa kwa wachimbaji wadogo,mimi naomba tuunde ushirika au ubiq basi kwenye huo mgodi niwe nachimba japo kwa msimu!!!Hata huyo mzawa atakuelewa tu ukinipa fursa,fursa kuhudumia kipochi manyoya na mifuko yake,haihitaji degree na pia mgodi hauishi wala Mali asili haichachi,kaazi Kerri Kerri!;!!
 
Ni burudani tu kama kuangalia mpira, ma-miss n.k

o.k! nimekusoma Wi-Fi,ila litakuwa ni jambo la busara kwa watanzania wote kama tutajitokeza kuwapigia kula wakilishi wetu katika "The Chase" na sio kuwakosoa tu
 

Barrick wameshachukua dili alafu miaka mia....nadhan unajua kuvunja mkataba c mchezo.
 
Ngoja nikae mkao wa kumchungulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…