Feza secondary vs st. Kayumba.

Feza secondary vs st. Kayumba.

RUV ACTVIST.

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2012
Posts
472
Reaction score
111
Hivi imekaeje hii? Feza Secondary na shule zetu za kata kupewa mtihani mmoja? Wakati Feza Sec inakila kitu, walimu wazuri, vitendea kazi, ni haki kweli? Haya na hili la secondary za serikali kuzidilwa na private litaisha lini? serikali ndo yenye kila kitu, dola, kodi zetu, inazipeleka wapi? hali itaisha lini? Nani tumvishe kengele?
 
ni sahihi kabisa kwani hata huko vijijini kuna vijana wanapata one,pia feza na tabora boyz kuna tofauti gani...mbona tabora boyz wanafanya vizuri mara kibao
mwanafunzi smart ata kama yuko makorokoroni anatoka tu.
 
Hapo ndo ushangae serikali yako inaposisitiza shule za binafsi ziwe na ubora unaotakiwa wakati shule za serikali hazina ubora huo ambao inasimamia. Shame on you government
 
ni sahihi kabisa kwani hata huko vijijini kuna vijana wanapata one,pia feza na tabora boyz kuna tofauti gani...mbona tabora boyz wanafanya vizuri mara kibao
mwanafunzi smart ata kama yuko makorokoroni anatoka tu.

Sioni kitufe cha LIKE ningekugongea, nimependa mchango wako wako na ukweli ndio huo.
 
Hivi imekaeje hii? fedha secondary na shule zetu za kata kupewa mtihani mmoja? Wakati fedha sec inakila kitu, walimu wazuri, zitendea kazi, ni haki kweli? Haya na hili la secondary za serikali kuzidilwa na private litaisha lini? serikali ndo yenye kila kitu, dola, kodi zetu, inazipeleka wapi? hari itaisha lini? Nani tumvishe kengere?

Ni FEZA siyo Fedha
 
ni sahihi kabisa kwani hata huko vijijini kuna vijana wanapata one,pia feza na tabora boyz kuna tofauti gani...mbona tabora boyz wanafanya vizuri mara kibao
mwanafunzi smart ata kama yuko makorokoroni anatoka tu.

Your very wrong! Elimu haiko hivyo. Huyo anayepata Div I shule za kata sawa na aliyepata the same Feza ni lazima wa shule ya kata to somee extent alikuwa exposed to some environment that allows coherent and comprehensive learning process to take place. So unataka kuniambia mass failure kwenye shule za kata ni kwa sababu hawana uweza kuelewa? No sababu ni mazingira ambayo hawana walimu wa kutosha, hakuna maabara, hata walimu waliopo wengi siyo competent N.K.
 
zero commitment made by de gvt in education so tegemeeni moo failure huko tunakoenda coz elimu ya 4m 4 ndioi inauliwa bado 4m six which z on the way
 
Back
Top Bottom