ohhh For Frack Sake (FFS)... yameishia wapi matisho na lenge lenge za wabunge kuwa watakwamisha bajeti?
Well... leo ni ijumaa, wakati ambapo:
1. Inadaiwa kuwa mmiliki wa ze utamu amekamatwa
Yafuatayo bado ni .... ohh FFS.....
1. Mhusika wa Kagoda hajulikani
2. Wahusika wa meremeta hawajulikani
3. Wizi (kupitia ununuzi wa rada) bado ni kitendawili
4. Richmond/Dowans
5. TICTS ohhh FFS (whatever the name)
6. Wizi kupitia ujenzi wa BOT bado ... ohh Noni yuko wapi?
7. IPTL bado iko tu... na inapeta kama kawa
8. Buzwagi ..... kimya?
9. Wizi wa BoT sio EPA pekee... usalama wa taifa wako bize na zeutamu
na bado
10. Benki ya TIB inayoongozwa na NONI - itapewa Trilion 1.
ohh FFS
Well... leo ni ijumaa, wakati ambapo:
1. Inadaiwa kuwa mmiliki wa ze utamu amekamatwa
Yafuatayo bado ni .... ohh FFS.....
1. Mhusika wa Kagoda hajulikani
2. Wahusika wa meremeta hawajulikani
3. Wizi (kupitia ununuzi wa rada) bado ni kitendawili
4. Richmond/Dowans
5. TICTS ohhh FFS (whatever the name)
6. Wizi kupitia ujenzi wa BOT bado ... ohh Noni yuko wapi?
7. IPTL bado iko tu... na inapeta kama kawa
8. Buzwagi ..... kimya?
9. Wizi wa BoT sio EPA pekee... usalama wa taifa wako bize na zeutamu
na bado
10. Benki ya TIB inayoongozwa na NONI - itapewa Trilion 1.
ohh FFS