FFS- Wabunge wa Tanzania (waafrika) ndivyo walivyo

FFS- Wabunge wa Tanzania (waafrika) ndivyo walivyo

Mwafrika

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2006
Posts
5,490
Reaction score
229
ohhh For Frack Sake (FFS)... yameishia wapi matisho na lenge lenge za wabunge kuwa watakwamisha bajeti?

Well... leo ni ijumaa, wakati ambapo:

1. Inadaiwa kuwa mmiliki wa ze utamu amekamatwa

Yafuatayo bado ni .... ohh FFS.....

1. Mhusika wa Kagoda hajulikani
2. Wahusika wa meremeta hawajulikani
3. Wizi (kupitia ununuzi wa rada) bado ni kitendawili
4. Richmond/Dowans
5. TICTS ohhh FFS (whatever the name)
6. Wizi kupitia ujenzi wa BOT bado ... ohh Noni yuko wapi?
7. IPTL bado iko tu... na inapeta kama kawa
8. Buzwagi ..... kimya?
9. Wizi wa BoT sio EPA pekee... usalama wa taifa wako bize na zeutamu


na bado

10. Benki ya TIB inayoongozwa na NONI - itapewa Trilion 1.

ohh FFS
 
ohhh For Frack Sake (FFS)... yameishia wapi matisho na lenge lenge za wabunge kuwa watakwamisha bajeti?

Well... leo ni ijumaa, wakati ambapo:

1. Inadaiwa kuwa mmiliki wa ze utamu amekamatwa

Yafuatayo bado ni .... ohh FFS.....

1. Mhusika wa Kagoda hajulikani
2. Wahusika wa meremeta hawajulikani
3. Wizi (kupitia ununuzi wa rada) bado ni kitendawili
4. Richmond/Dowans
5. TICTS ohhh FFS (whatever the name)
6. Wizi kupitia ujenzi wa BOT bado ... ohh Noni yuko wapi?
7. IPTL bado iko tu... na inapeta kama kawa
8. Buzwagi ..... kimya?
9. Wizi wa BoT sio EPA pekee... usalama wa taifa wako bize na zeutamu


na bado

10. Benki ya TIB inayoongozwa na NONI - itapewa Trilion 1.

ohh FFS

Jf , home of great thinkers indeed !! - halafu tunakubali kufungwa bao la kisigino. Wakati tumejikita kwenye hadithi za Ze Utamu, fimbo mchawi anafanya vitu vyake. Tumekosa hata muda wa kufuatilia wananchi wa Iran wanavyoicharukia utawala wa kiimla. Tupo chumbani twaangalia "porno" kumbe huku nje bunge mfu linafanya kufuru kupitisha bajeti ya kifisadi.
Bongo hadi Ughaibuni ..tongotongo zile zile.
 
Jf , home of great thinkers indeed !! - halafu tunakubali kufungwa bao la kisigino. Wakati tumejikita kwenye hadithi za Ze Utamu, fimbo mchawi anafanya vitu vyake. Tumekosa hata muda wa kufuatilia wananchi wa Iran wanavyoicharukia utawala wa kiimla. Tupo chumbani twaangalia "porno" kumbe huku nje bunge mfu linafanya kufuru kupitisha bajeti ya kifisadi.

Bongo hadi Ughaibuni ..tongotongo zile zile.

Mag3,

Mambo mengine yanahuzunisha na kuchekesha sana (call me crazy). Habari zingine kama hiyo ya zeutamu haihitaji sayansi ya anga kujua kiini na sababu yake.

Kuondoa mtizamo wa wabunge toka kwenye Trilioni moja zilizotengwa kwa ajili ya TIB au milioni 500 kwa ajili ya vitafunwa vya Mkulo haikuhitaji FFU au MP wa jeshi.

ohhh FFS
 
Mag3,

Mambo mengine yanahuzunisha na kuchekesha sana (call me crazy). Habari zingine kama hiyo ya zeutamu haihitaji sayansi ya anga kujua kiini na sababu yake.

Kuondoa mtizamo wa wabunge toka kwenye Trilioni moja zilizotengwa kwa ajili ya TIB au milioni 500 kwa ajili ya vitafunwa vya Mkulo haikuhitaji FFU au MP wa jeshi.

ohhh FFS

Tumeambiwa raisi ni nembo ya taifa kwa hiyo haiwezi kuachwa akadhalilishwa. Wata employ every resource at their disposal kumsaka huyo mhalifu. Hiyo ndo logic ya wasomi wa bongo...
 
Tumeambiwa raisi ni nembo ya taifa kwa hiyo haiwezi kuachwa akadhalilishwa. Wata employ every resource at their disposal kumsaka huyo mhalifu. Hiyo ndo logic ya wasomi wa bongo...
Na wananchi ni nembo ya nani? si unajua wote tuna haki sawa? ndio sababu hupita kutuomba kura!
 
Tumeambiwa raisi ni nembo ya taifa kwa hiyo haiwezi kuachwa akadhalilishwa. Wata employ every resource at their disposal kumsaka huyo mhalifu. Hiyo ndo logic ya wasomi wa bongo...

Nami nakubaliana nao kuwa Raisi ni nembo ya taifa na kuwa sio vizuri akadhalilishwa. Lakini je, katika mambo yote yanayowaumiza watanzania leo hii, kuna haja ya kutumia nguvu zote hizi dhidi ya mhalifu huyu (huku wengine wakiendelea kupeta) tu?
 
Ndivyo kweli ilivyo! Mambo muhimu hayajashughulikiwa tukapewa majibu. Lakini hili la kukamatwa kwa mmiliki wa ze utamu linatangazwa ili iweje? Tujue kuwa wanafanyakazi seriously kwa mambo yanayogusa mambo nyeti ya daraja fulani. Umma ungefurahi kutangaziwa mambo kibao kuwa yamepatiwa ufumbuzi au yapo katika hatua gani. Vipi kuhusu Kagoda?..No body knows????
We are not serious.
 
Jamani mimi ninajua na ninaiweza siasa kuliko jamii ya kitanzania inavofikiri.

Sasa ninawapa habari mpya ya upinzani.

CHADEMA katika kampeni zao za uchaguzi wa ubunge jimbo la Biharamulo Magharibi wanatumia propaganda za kuonewa na kushambuliwa katika harakati zao.

Mimi kama mwanamapinduzi wa maendeleo ya jamii na mwanasayansi ya mazingira sipendezwi na mwenendo wa watanzania kushabikia wasichokijua.

Bwana Mbasa kama mgombea kiti cha ubunge ni dakitari wa binadamu fani ambayo ni adimu duniani leo hii anataka kuwa mbunge maanayake aingie kwenye siasa.

Binafsi sipendezewi na hali hiyo kwani jamii itakosa wataalamu wa kunusulisha maisha ya wanadamu na kufanya sote tukodolee milioni kumi na mbili kwa mwezi.....

Hey Tanzanians open your eyes please, Let politicians fight for politics and we scientists fight for development.

take care
 
Jamani mimi ninajua na ninaiweza siasa kuliko jamii ya kitanzania inavofikiri.

Sasa ninawapa habari mpya ya upinzani.

CHADEMA katika kampeni zao za uchaguzi wa ubunge jimbo la Biharamulo Magharibi wanatumia propaganda za kuonewa na kushambuliwa katika harakati zao.

Mimi kama mwanamapinduzi wa maendeleo ya jamii na mwanasayansi ya mazingira sipendezwi na mwenendo wa watanzania kushabikia wasichokijua.

Bwana Mbasa kama mgombea kiti cha ubunge ni dakitari wa binadamu fani ambayo ni adimu duniani leo hii anataka kuwa mbunge maanayake aingie kwenye siasa.

Binafsi sipendezewi na hali hiyo kwani jamii itakosa wataalamu wa kunusulisha maisha ya wanadamu na kufanya sote tukodolee milioni kumi na mbili kwa mwezi.....

Hey Tanzanians open your eyes please, Let politicians fight for politics and we scientists fight for development.

take care

Wewe mwanamapinduzi wa maendeleo ya jamii na mwanasayansi ya mazingira, umetumwa na chi chi emu nini?
 
Tumeambiwa raisi ni nembo ya taifa kwa hiyo haiwezi kuachwa akadhalilishwa. Wata employ every resource at their disposal kumsaka huyo mhalifu. Hiyo ndo logic ya wasomi wa bongo...

........too bad kuwa yanayopata publicity ni yale ambayo sisi walahoi tumeshikilia makali............
 
Back
Top Bottom