Mtu66 Senior Member Joined Jun 26, 2007 Posts 165 Reaction score 3 Oct 29, 2010 #1 Haya ni matumizi yasiyokuwa ya lazima ya FFU Watanzania wanaoneka wana amani kabisa Askari hata hawaoni umasikini unaowazunguka... angalia hayo mabati Uchafu hawauoni Ila raia wema wenye kiu ya Kumsikiliza Dr. Salaa Nalaaani matumizi ya FFU yasiyokuwa ya lazima
Haya ni matumizi yasiyokuwa ya lazima ya FFU Watanzania wanaoneka wana amani kabisa Askari hata hawaoni umasikini unaowazunguka... angalia hayo mabati Uchafu hawauoni Ila raia wema wenye kiu ya Kumsikiliza Dr. Salaa Nalaaani matumizi ya FFU yasiyokuwa ya lazima
Asante JF-Expert Member Joined Dec 18, 2009 Posts 2,086 Reaction score 1,081 Oct 29, 2010 #2 Wako wapi hapo?
Mtu66 Senior Member Joined Jun 26, 2007 Posts 165 Reaction score 3 Oct 29, 2010 Thread starter #3 Iringa wakimzuia Dr. Slaa kuhutubia ...walikuwa wanatawanya raia wema tu