Elections 2010 FFU na Kuelekea Uchaguzi Mkuu....

Mtu66

Senior Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
165
Reaction score
3
Haya ni matumizi yasiyokuwa ya lazima ya FFU


Watanzania wanaoneka wana amani
kabisa



Askari hata hawaoni umasikini
unaowazunguka...
angalia hayo mabati


Uchafu hawauoni
Ila raia wema wenye kiu ya
Kumsikiliza Dr. Salaa


Nalaaani matumizi ya FFU
yasiyokuwa ya lazima
 
Iringa wakimzuia Dr. Slaa kuhutubia ...walikuwa wanatawanya raia wema tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…