Ahahaahaaa unajua kuna watu mnavituko sana kwahiyo wewe ni mwanza boyTupia ka picha mkuu
Mwanza!!
Huyu hapa mwenye kofia nyekundu, si mchezoTupia ka picha mkuu
Mwanza!!
Ngosha ni road sio loadAman iwe juu yenu wakuu
Aisee Leo kumetokea tafran baina ya wajeda yaan wanajeshi na askari Wa kutuliza ghasia FFU wenye vikofia vyekundu kichwan
Aisee mkono umetembea sijawah ona, zimepigwa ngumi had zikawa zinawaka moto
Hawa wajeda wanapiga mkono lakin hapa naona Leo wamekwama, dah aisee kuna watu wanarusha ngumi unaweza fumba macho wakati hupigwi wewe.
Ni hapa iringa load
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda alimaanisha load hivyo hivyo tofauti na ile ya Dodoma na kwingineko unayoijua wewe....Ngosha ni road sio load
Nimejaribu kurudia kukusoma ila kichwa kimeanza kuniuma naona sielewi umeandika nini.Huenda alimaanisha load hivyo hivyo tofauti na ile ya Dodoma na kwingineko unayoijua wewe....
Dodoma kuna mtaa waitwa Iringa Road. Sasa kwenye comment yangu ya awali nimejaribu kusema labda mtoa mada anazungumzia sehemu tofauti na unayoijua wewe na mimi sababu kwenye Iringa hakuvuruga matumizi ya R na LNimejaribu kurudia kukusoma ila kichwa kimeanza kuniuma naona sielewi umeandika nini.