Fiaza Ally anataka aanze kupiga picha za utupu

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo

 
Bangi imeshuka bei, soko la dunia halijali, IMF haitoi tamko kuthibiti mdororo wa kushuka kwa bangi kutoka 450 hadi 400 kwa kete kila maskini amekuwa na uwezo wa kununua basi shida tupu
 
Muislamu huyu hongera zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nani?na akipiga wale jamaa wa makinikia watakataa kulipa kodi yetu?kama watakataa muombeni asipige
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…