FIBA CHINA

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Naangalia na kufatilia sana basketball competition inayoendelea china ila najiuliza ni kwa nini team USA ambayo ina mashabiki wengi haina kawaida ya kupeleka wachezaji maarufu kwenye mashindano ya kimataifa na hii ni mara nyingi sana
Mfano kwa sasa hakuna majina kama Stephen Cury, Lebron James ,Haden ,na wengine wengi badala yake ni majina ya kawaida tu!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…