Fibre optic - mkongo wa mawasiliano

Alaigwanani

Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
15
Reaction score
0
jamani kuna mtu ana habari kuhusu hii(fibre optic cable), tulisikia ikianza tutafaidi kupata punguzo la bei kwa watumiaji wa internet. Tukatazamia kuona mwaka huu kuwa namabadiliko makumbwa kwenye mambo ya habari. lakini naona mwaka unaisha na hali ni ileile
 
hamna lolote ni miyeyusho tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…