Unapotaka kutaja miamba ktk muziki huo basi hao uliowataja wote ni uharo tu...
Ili nikuelewe labda ungewataja
Saleh jabir
Sugu
Sos B
Ebwana dah ebwana dah Saigon
Balozi
Profesa J
Na makundi machache.
Kuna visanii vinajipa umwamba na ukongwe wakati vimekuja na boti ya Clouds FM...