Clip unahusu nini??Sitaki kuongea sana kuna clip najaribu ku upload nashindwa
Maujinga ujinga tu kujifanya yy ndio CCM mara vijana tusidanyanywe nyoko nyoko " inshort Fid q na Mwana Fa ni ma snitch kiwango cha SGRClip unahusu nini??
Me nataka video aliyowatukana wasafi...Hizo ccm unafika kawaidaMaujinga ujinga tu kujifanya yy ndio CCM mara vijana tusidanyanywe nyoko nyoko " inshort Fid q na Mwana Fa ni ma snitch kiwango cha SGR
Fid ni mnafiki sana ukimuona kma ana hekima lkn ni snitch mzoefu kuna maneno flan aliyaongea enzi za kampeni nikamshusha kabisa, ingawa Tale nae kazidi uswahili kwan kua na gari ndio kufanikiwa maisha?
Gari ni kipaumbele cha mtu kuna watu hawana hobby nayo una amin Bob marley alikua hana private car alikua akitumia van ya band ya the Wailers?
You must be poor... Very poor kichwaniStill gari ni indicator katika umri kwa umri wa 21-28+ kidogo nawengine hadi 30+ ni umri wa kuhaso sana pesa ukipata unaingiza kwenye mzunguuko gari sio muhimu sana ila ukifika kama 40+ still huna gari wewe usilete Sera zako zakujikaririsha gari simafanikio.
Mtu kama Fid kwa alipo fikia sasa asifanganye kwamba eti gari sio mafanikio sema kapoteza kimaisha.
Ya uyo Bob male iyo ni feudal kama feudal wengine.
You must be poor... Very poor kichwani
I wish ningekua mjinga... Kwasababu ningekuelewaUwenda ukawa mjinga wa dunia unaposhindwa kujibu hoja nakuandika mavimavi.
I wish ningekua mjinga... Kwasababu ningekuelewa
Sorry pal...Utakufa maskini kwa akili yako hiyo utafutaji ujanani matumizi uzeeni sasa ukiendelea kukaa ilo tank lako bila kubadilisha mtazamo itakuwa sio think tank bali tank of water, eti mwenyewe unaongea kabisa your poor very poor kichwani pambana acha fikra za kimaskini utakuja kuwaona wenzio tu umeniuzi ujui then unajifanya mjuaji.
Yah wasanii inabidi wabaki neutral maana wasichague upande in the long run hata hao WCB inaweza turn out wakawa kama clouds tu maana babu tale na Sallam Sk nao si wale wale tu. So wabaki neutral wapige ela kote kote
Sasa ndio umeeleza nini hapa kwaheli baki na water tank lakoSorry pal...
Utakufa maskini and you are very poor it's one and the same thing....
I truly wish ningekua na uelewa mdogo labda ningekuelewa
Besides, I really hope utaishi to realise your full potential and learn Kwamba bado uko nyuma kidooogo ya wakati na hasa kwenye uelewa
Usiache kuhaso... Lakini muhimu zaidi ni Kwamba usiache kujifunza
Akikuonyesha nitag maana hakuna alipotaja jina yani ukisikia hiyo clip na kinachoongelewa utashangaa
Tunamrudisha jay mo kwenye nafasi yake huyu ngosha tunamrudisha namba 2
Analelewa na nani??Ni kweli kabisa hana na ana lelewa
Maujinga ujinga tu kujifanya yy ndio CCM mara vijana tusidanyanywe nyoko nyoko " inshort Fid q na Mwana Fa ni ma snitch kiwango cha SGR