VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Sasa na wewe tukuite Great Thinker?
Ama kweli JF imevamiwa
Kijana anaondoa stress za kukosa mkopo
Wengi wa wachangiaji threads huwa mnavamia majukwaa halafu mnatoa comments za kipuuzi...hili ni jukwaa husika kwa thread husika....FID Q ni musician, so any news concerning him na wasanii wengine kuwekwa katika jamvi hili hakuna makosa....Stop being silly guys, huna cha kucomment off you go wala haitapunguza furaha au stress ulizonazo...
Wengi wa wachangiaji threads huwa mnavamia majukwaa halafu mnatoa comments za kipuuzi...hili ni jukwaa husika kwa thread husika....FID Q ni musician, so any news concerning him na wasanii wengine kuwekwa katika jamvi hili hakuna makosa....Stop being silly guys, huna cha kucomment off you go wala haitapunguza furaha au stress ulizonazo...
Tatizo sio kumwandika Fid Q bali ni kitu alichoandika,sasa mtu anaandika tu 'Fid Q anaipenda Barca' ndo nini sasa?
Tatizo sio kumwandika Fid Q bali ni kitu alichoandika,sasa mtu anaandika tu 'Fid Q anaipenda Barca' ndo nini sasa?
Ulitaka aandike anampenda mkeo?, Au kila akiandikwa Msanii unataka aandikwe na skendo Mbaya mbaya, Wabongo bana Ptuuu!
Tatizo sio kumwandika Fid Q bali ni kitu alichoandika,sasa mtu anaandika tu 'Fid Q anaipenda Barca' ndo nini sasa?
Nani kavamia?
Kumbe na wewe ni wale wale pipa na mfuniko,
Fid anaipenda Barcelona, then unataka waseme nini?
Fid Q mwenyewe katika mashairi yake, kuna sehemu anasema kuna habari na habari za kusisimua, so hii ni habari tu haina nguvu ndio maana watu wanakula chocho, hawaandiki chochote!
Sababu ya kumuuliza kama nae ni Great Thinker ni kutokana na anavyoandika hoja nyepesi, amabazo zaidi mimi naona anajaza server tu
Huoni kejeli kama hizi "Kumbe na wewe ni wale wale pipa na mfuniko",ndi zajaza server ndugu?
Kama unaona uzi huuelewi unapotezea tu si lazima kuandika kitu...
Nadhani uannielewa ndugu!
Wengi wa wachangiaji threads huwa mnavamia majukwaa halafu mnatoa comments za kipuuzi...hili ni jukwaa husika kwa thread husika....FID Q ni musician, so any news concerning him na wasanii wengine kuwekwa katika jamvi hili hakuna makosa....Stop being silly guys, huna cha kucomment off you go wala haitapunguza furaha au stress ulizonazo...