Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Mumbe mr nice amatusua kimziki aisee tunaona tofauti nmeamini angetusua si angeacha kuwa omba omba huko kenya!!??
 
Saaanaa sasa hilo ni swali au umetoa jibu Kiba hasogei kwa KondeBoy hata nusu
 
 

Attachments

  • IMG_20190829_194729_421.jpg
    45.2 KB · Views: 21
Mnaanzaje fananisha fud Q na vitu vya kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…