Fid Q vs Jo Makini

Fid Q vs Jo Makini

Fid Q , Ngosha the don anatisha.
Ana misemo na mshairi ya maana.
Hata ki muonekano, anavaa kiheshima sana huwezi kumlinganisha na Jo Makini cheki bobu wa A Town, ambaye amelewa na sifa
 
joe ni mkali......sema approach yake kwenye muzic hamsadii sana zaidi ya kunyakua matuzo ya kili n.k, meneja wake inaonekana kilaza sana, hajawahi hata kumtafutia show outside country kama kwa wengine U.S , U.K nk,na ndio maana smtm utamkuta Joe anauza mitumba maeneo, na mambo mengine, ila kwa mistari jamaa ni mkali na wasanii wengi wanapata reference toka kwake kwamba ''HIP-HOP HAPA BONGO HAILIPI''.
 
Wote ni wakali, wanatofautiana uandishi wa mashari na style za kughani mashairi...ukisikiliza kwa makini nyimbo zao lazima upate msg. Though for me Joe ni mkali wa style ya kuflow over beat, yupo creative sana.. Fid Q mashairi yake yamejaa misemo zaidi na ulinganifu wa vitu au watu, content haifanani na title( udhaifu). Ila wote wanapresent Hip-Hop vizuri.
 
joe ni mkali......sema approach yake kwenye muzic hamsadii sana zaidi ya kunyakua matuzo ya kili n.k, meneja wake inaonekana kilaza sana, hajawahi hata kumtafutia show outside country kama kwa wengine U.S , U.K nk,na ndio maana smtm utamkuta Joe anauza mitumba maeneo, na mambo mengine, ila kwa mistari jamaa ni mkali na wasanii wengi wanapata reference toka kwake kwamba ''HIP-HOP HAPA BONGO HAILIPI''.

sidhani hata kama jamaa ana meneja.
 
Wote nawakubali, kwa kuwa hawana hip hop mavi za matusi na kusifia maovu, kama wale sijui Nako...2 nini?
 
Wote wakali ,FID Q ana lyrics za ukweli Joh Makini siku hizi ameanza kuwa mchovu
 
Joh Makini ni mkali, kwenye 'kuflow' na pia lyrics zake nyingi ni original, lyrics za fid q nyingi sio original ananakili kutoka kwenye vitabu. Halafu sauti ya Joh Makini ni nzuri zaidi kulinganisha na fid q. Joh Makini akishirikiana na Jigga hutaona tofauti.
 
Back
Top Bottom