ona sasa sijasema mbovu!!! duh stay kwenye hoja
huyu na yule?? ina tofauti gani na nyimbo kibao za akina mwana FA, AY, king crazy GK, au hawa akina sugu??? nyimbo kama hii ni so common, kimya kimya moja wapo
tena unasema miaka 12 iliyopita na recently huna cha kusema?
'hawajatoka kwenye misingi' ndio hapo mnapomuua....msingi upi usio mpa hela?? fid q hawezi kuja kutamba na kusema anaishi 100% kwa muziki! ney
imagine hizo akili zake, angekuwa anatunga aina ya nyimbo za kama akina 'chemical, darasa, nature, gozdilla, joe makini, niki wa pili, mwana FA...hata akina msodoki...n.k
Tanzanian hip hop usisahau kuna african beat ndani yake ambayo ina miss kwa FID Q, ina maneno machache mepesi ambayo rahisi kueleweka na kuimbika kwa wengine kwa mfano wimbo wa darasa -muziki, nyimbo za akina mr. sugu, prof jay
He need to change na ku focus market , I bet akiamua anawafunika wote hawa maana mashairi yake magumu, mazuri anabaki nayo yeye, au nyie mnaomuelewa ambao hamchangii pato lake kwa namna yoyote ile, hamuendi show zake, hamnunui kazi zake, wala hata tune caller hamjaweka za kwake...bisheni
Joe makini juzi anaungana na chidima, FID Q basi ngau angewaza kuimba na akina rick ross, akon n.k ambako labda anaeleweka vyema, ila kwetu Tandale hata aseme anaweka show bure hakuna wa kuingia, hata akisema anawapandisha watu magari waende hawaendi ng'o....ila kwenu anabaki ndio 'mkali' huyo. Fid q mfananishe na lord eyes ambao uwezo wa na talent zao hawaja link na jamii husika, ila furaha yao ni kuwambiwa nyie ndie wana hipo hop wa 'ukweli'... haya dogo chemical mtoto wa kike amekuja kivingine, waulize jamii wanamkubali nani? mtoto wa kike ana mdondosha huyo mkongwe!
Wimbo gani wa FID Q utauzima ' mtazamo' wa afande sele, prof jay na solo thang, au darubini kali wa afande sele, au hata bwana misosi, au suma G na na vituko uswahilini, au asali wa moyo wa inspecta, sijazisema za juma nature zooote, au niko bize wa jaffarai, au zali la mentali?? wimbo gani wa Fid Q unazika 'hii leo' ya king crazy GK na AY, au Zigo?? ataizika mapozi ya mr. Blue? au nyimbo yoyote ile ya Ngwair ( RIP), Soggy doggy kibanda cha simu?? 'jana na leo' ya stamina na msodoki ...unaifahamu la kuchumpa la kuparama ya Godzilla..au nyimbo zote za Ney wa mitego?..unaijua vituko uswahilini ya suma G? ..Wimbo upi wa Fid Q unauzidi wimbo wowote ule wa darasa?? ...nyimbo zote za darasa zinaimbika mahali popote n watu wote wale..angalia show zake,...zote hizi ziko so close na society zinaimbika..na jamii ndio inayotoa hela, ndio inayolipa...kwa nini habadiliki?
Sio kuwa simpendi maana waswahili hampendi ukweli.......'wazo la leo' stamina ft Fid Q inabaki kuwa best written song kwangu, japo ile chorus ingefanyiwa utundu wa kama ngoma hizo hapo juu tungesema mengine...na utagundua nyimbo za FID alizofanya collabo angalau zina viewers wengi japo si zaidi ya laki sita.....yeye binafsi anabaki na ule ugumu wake 'kuw hawezi saliti hip hop' ha ha ha
ni mtazamo tu