Fid q yupo ndani ya studio kwenye taarifa ya habari ya citizentv

B.4really

Senior Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
199
Reaction score
89
Wakuu nipo naangalia taarifa ya habari citizen tv ya kenya naona imeanza kwa mbwembwe za hatari coz fid yupo ndan ya mjengo na kachana ngoma ya cnn aliyoshirikishwa na marehemu ngwair...rip cowboy
 
Anataka kusoma taarifa ya habari?
 
Wakuu nipo naangalia taarifa ya habari citizen tv ya kenya naona imeanza kwa mbwembwe za hatari coz fid yupo ndan ya mjengo na kachana ngoma ya cnn aliyoshirikishwa na marehemu ngwair...rip cowboy

ni CITIZEN Nipashe mkuu.
 
Mkuu, main point hapa ni ipi?
 
Mkuu, main point hapa ni ipi?

Ni kueleweka kwa sanaa ya hip hop music wa tz kwa mataifa ya nje na ndicho kilichomfnya awe hapo na sio ww uliekaa hapo kweny keyboard kazi kuuliza maswali uliyo na majibu yake
 
Ni kueleweka kwa sanaa ya hip hop music wa tz kwa mataifa ya nje na ndicho kilichomfnya awe hapo na sio ww uliekaa hapo kweny keyboard kazi kuuliza maswali uliyo na majibu yake

Hahahaaaa... Ndo umepagawa kabisa kwa kuwa umemuona fid q kwenye media ya kenya?
 
Hahahaaaa... Ndo umepagawa kabisa kwa kuwa umemuona fid q kwenye media ya kenya?

Sibishani na mtu mwenye akili za kushikiwa kama ww coz inaonesha uwezo wako wa kufikiri ni sawa na cartoon za masoud kipanya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…