Fidel Castro na Che Guevara wakiwa jijini Dar-Es-Salaam kwa siri enzi za Cold War

Fidel Castro na Che Guevara wakiwa jijini Dar-Es-Salaam kwa siri enzi za Cold War

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1553457985236.jpeg

Mwaka 1965 Fidel Castor na Che Guevara waliingia katika ardhi ya Tanzania, walifikia katika ubalozi wa Cuba mtaa wa Lugalo Upanga. Wakiwa na maofisa wa ubalozi wao.

Dhamira ya safari yao ilikuwa kupanga mipango ya ukombozi na ki mapinduzi kusini mwa Afrika. Inasadikika Che Guevara alibakia kwa miezi mitatu nchini akiwa na vitambulisho bandia.

Viongozi wa Frelimo walikuja na kukutana na Che Guevara. Baada ya hapo alielekea Bolivia.
 
View attachment 1053299
Mwaka 1965 Fidel Castor na Che Guevara waliingia katika ardhi ya Tanzania, walifikia katika ubalozi wa Cuba mtaa wa Lugalo Upanga. Wakiwa na maofisa wa ubalozi wao.

Dhamira ya safari yao ilikuwa kupanga mipango ya ukombozi na ki mapinduzi kusini mwa Afrika. Inasadikika Che Guevara alibakia kwa miezi mitatu mchini akiwa na vitambulisho bandia.

Viongozi wa Frelimo walikuja na kukutana na Che Guevara. Baada ya hapo alielekea Bolivia.
Majamaa yalikuwa mahendisam balaa!

Dunia haitavisahau hivi vichwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1053299
Mwaka 1965 Fidel Castor na Che Guevara waliingia katika ardhi ya Tanzania, walifikia katika ubalozi wa Cuba mtaa wa Lugalo Upanga. Wakiwa na maofisa wa ubalozi wao.

Dhamira ya safari yao ilikuwa kupanga mipango ya ukombozi na ki mapinduzi kusini mwa Afrika. Inasadikika Che Guevara alibakia kwa miezi mitatu mchini akiwa na vitambulisho bandia.

Viongozi wa Frelimo walikuja na kukutana na Che Guevara. Baada ya hapo alielekea Bolivia.
Dah Bolivia ndo wakamuua mtaalam Che guevara ila hao wanaume wanatisha
 
Hakika dada hao watu ni true definition of uzalendo, ni wazalendo kwlkwl nmesoma history ya Che guevara wikipedia jamaa kazunguka nchi sana na kapinga sana masuala ya kutawaliwa kizembe me kwng nawapa KONGOLE YENYE NYOTA 5
Ninadhani Che Guevara angeona utajiri waliojipatia viongozi kwa kupitia imani ya Ujamaa angeumia sana.
 
Hakika dada hao watu ni true definition of uzalendo, ni wazalendo kwlkwl nmesoma history ya Che guevara wikipedia jamaa kazunguka nchi sana na kapinga sana masuala ya kutawaliwa kizembe me kwng nawapa KONGOLE YENYE NYOTA 5
Viongozi kama hawa sijui kama unaweza kuwapata miaka hii ya sasa. Mambo ya demokrasia japo ni mazuri lakini kwa Afrika nadhani yamekuwa na negative impact kwani uchaguzi unakuwa kama kiini macho cha kuwaingiza wanasiasa matapeli Ikulu. Zamani viongozi kama hawa walikuwa wanajitokeza na kupendwa kwa sababu ya juhudi zao binafsi. BTW Magufuli alipokuwa anatajwa kama anafaa kuongoza baada ya Kikwete kipindi hicho nilikuwa sijamjua vizuri na nilikuwa namfananisha na viongozi wazalendo kama hawa wakina Castro. Japo Magufuli alikuwa na elements za uzalendo na kujiamini sana lakini naona ukosefu wa upeo wa akili, elimu yake ya magumashi na kukosa ustaarabu kulimfanya awe tofauti kabisa.
 
View attachment 1053299
Mwaka 1965 Fidel Castor na Che Guevara waliingia katika ardhi ya Tanzania, walifikia katika ubalozi wa Cuba mtaa wa Lugalo Upanga. Wakiwa na maofisa wa ubalozi wao.

Dhamira ya safari yao ilikuwa kupanga mipango ya ukombozi na ki mapinduzi kusini mwa Afrika. Inasadikika Che Guevara alibakia kwa miezi mitatu nchini akiwa na vitambulisho bandia.

Viongozi wa Frelimo walikuja na kukutana na Che Guevara. Baada ya hapo alielekea Bolivia.
sky Eclat, get your history correct, Fidel Castro hakuwahi kuja Tanzania, 1965.
Aliyekuja miaka hiyo ni Che Guevara tu.
Fidel Castro alikuja in 1977, na alitoa msaada wa kujenga shule mbili za secondari Ruvu na Kibiti.
 
Viongozi kama hawa sijui kama unaweza kuwapata miaka hii ya sasa. Mambo ya demokrasia japo ni mazuri lakini kwa Afrika nadhani yamekuwa na negative impact kwani uchaguzi unakuwa kama kiini macho cha kuwaingiza wanasiasa matapeli Ikulu. Zamani viongozi kama hawa walikuwa wanajitokeza na kupendwa kwa sababu ya juhudi zao binafsi. BTW Magufuli alipokuwa anatajwa kama anafaa kuongoza baada ya Kikwete kipindi hicho nilikuwa sijamjua vizuri na nilikuwa namfananisha na viongozi wazalendo kama hawa wakina Castro. Japo Magufuli alikuwa na elements za uzalendo na kujiamini sana lakini naona ukosefu wa upeo wa akili, elimu yake ya magumashi na kukosa ustaarabu kulimfanya awe tofauti kabisa.
Tanzania kidogo magufuli alikuwa na elements nying sana za uzalendo kwa taifa
 
Back
Top Bottom