COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,821
Habari za jioni.
Kwa wanaohusika na malipo ya fidia ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato -Dodoma mtatulipa lini fidia hiyo miaka inakwenda ardhi na vilivyomo havituzalishii toka mlipohakiki mara ya kwanza mwaka 2018 ni miaka mitatu,
Sasa je, mtaongeza kiwango cha fidia au ndo mtatulipa senti kwa thamani ya mwaka 2018?
Kwa wanaohusika na malipo ya fidia ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato -Dodoma mtatulipa lini fidia hiyo miaka inakwenda ardhi na vilivyomo havituzalishii toka mlipohakiki mara ya kwanza mwaka 2018 ni miaka mitatu,
Sasa je, mtaongeza kiwango cha fidia au ndo mtatulipa senti kwa thamani ya mwaka 2018?