Fidia Mto wa Mg'ombe. Je, pesa zimeliwa?

Fidia Mto wa Mg'ombe. Je, pesa zimeliwa?

Benderea

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
686
Reaction score
1,303
Fidia imecheleweshwa sana na wananchi walishasaini zaidi ya mwezi ulishapita wakaahidiwa kulipwa ndani ya wiki mbili!

Leo zaidi ya mwezi hawajalipwa ukiuliza ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa Kinondoni ambao ndo walifanya tathmini wanasema pesa walisha pelekewa TARURA-DMDP ili walipe wao hawahusiki tena?

Hawa TARURA-DMDP hawajalipa mpaka sasa.

Je, pesa zimeliwa? Ni ajabu mpaka leo kwa nini hawajalipa?
 
Back
Top Bottom