M Mkoyongi Member Joined Apr 27, 2007 Posts 36 Reaction score 17 Sep 11, 2018 #1 Mke wangu amezaa nje ya ndoa kabla talaka haijatolewa. Je naweza kufungua kesi ya kudai fidia n.a. kuzalilishwa?
Mke wangu amezaa nje ya ndoa kabla talaka haijatolewa. Je naweza kufungua kesi ya kudai fidia n.a. kuzalilishwa?
F fred1149 JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 257 Reaction score 321 Sep 15, 2018 #2 Mkoyongi said: Mke wangu amezaa nje ya ndoa kabla talaka haijatolewa. Je naweza kufungua kesi ya kudai fidia n.a. kuzalilishwa? Click to expand... Unaweza mkuu na ukapata hela ndefu. Tatizo hapa ni je, unaemfungulia kesi ana mapene au kapuku? Maana km ni kapuku basi itabidi afungwe civil prisoners ambayo utamgharamia kwenye kifungo hicho
Mkoyongi said: Mke wangu amezaa nje ya ndoa kabla talaka haijatolewa. Je naweza kufungua kesi ya kudai fidia n.a. kuzalilishwa? Click to expand... Unaweza mkuu na ukapata hela ndefu. Tatizo hapa ni je, unaemfungulia kesi ana mapene au kapuku? Maana km ni kapuku basi itabidi afungwe civil prisoners ambayo utamgharamia kwenye kifungo hicho
666 chata JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 1,700 Reaction score 3,921 Sep 15, 2018 #3 mkuu wewe unahitaji ushauri mrefu na wa kueleweka (legal opinion) na sio kujibiwa tu et ndio unaweza au hauwezi.
mkuu wewe unahitaji ushauri mrefu na wa kueleweka (legal opinion) na sio kujibiwa tu et ndio unaweza au hauwezi.
R rolla JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 2,270 Reaction score 1,207 Sep 16, 2018 #4 666 chata said: mkuu wewe unahitaji ushauri mrefu na wa kueleweka (legal opinion) na sio kujibiwa tu et ndio unaweza au hauwezi. Click to expand... Mwambie cha kufanya na sehemu ya kuanzia. Otherwise comment yako haijamsaidia chochote
666 chata said: mkuu wewe unahitaji ushauri mrefu na wa kueleweka (legal opinion) na sio kujibiwa tu et ndio unaweza au hauwezi. Click to expand... Mwambie cha kufanya na sehemu ya kuanzia. Otherwise comment yako haijamsaidia chochote